Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mkurugenzi Mtendaji
wa Vodacom hapa nchini Bw. ReneMeza,
Ikulu Dar-Es-Salaam, walipokutana jana
jioni, Ijumaa Agosti 31,2012, ambapo aliishukuru kampuni hiyo ya simu za
mkononi kwakuchangia katika mradi wa kuhifadhi mbwa mwitu katika hifadhi ya
Taifa yaSerengeti, mradi unaojulikana kama Vodacom Foundation Serengeti Wild
DogsConservation Project, kwa dola za Marekani 450,000 kwa kipindi cha
miakamitatu. kumi na Moja, wamerudishwa mbugani siku ya Alhamisi Agosti30,
2012 baada ya kuhifadhiwa kwenye boma
maalumu la mradi huo, katika eneo la Nyamuma, Magharibi mwa Hifadhi ya Taifa ya
Serengeti,mkoani Mara.(Picha na Ikulu )
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment