Habari za Punde

Uwanja wa Mao Wafanyiwa Matengenezo Makubwa.

 Uwanja wa Mao ukiwa katika matengezezo Makubwa unaofanyiwa uwanja huo ili kuwa wa Kimataifa na Kitaifa, Matengenezo hayo husimamiwa na Uongozi wa Taifa wa ZFA.


Hii ni sehemu ya watazamaji wa Urusi maarufu hukaa mashabiki wa mpira wa miguu Zanzibar akiwemwe Mkongwe Hashim Salum,Said Tomas  na wengineo  wapenzi wa michezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.