Habari za Punde

Just In - Ustaadh Farid apatikana



Habari zilizotufikia muda si mrefu ni kwamba kiongozi wa jumuiya ya Uamsho, Ustaadh Farid amepatikana akiwa katika hali nzuri na kwa sasa yupo kwao kwa mzazi wake akipumzika.
 
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.