Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang,alipofika Ikulu ya Nchi hiyo akiwa na ujumbe wake katika ziara
rasmi ya kiserikali ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano baina ya pande mbili hizi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang,alipofika Ikulu ya Nchi hiyo akiwa na ujumbe wake katika ziara
rasmi ya kiserikali ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano baina ya pande mbili hizi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Waziri Mkuu wa Nchini Vietnam Le Hong Anh,baada ya kumaliza mazungumzo yao alipofika katika Ofisi ya Waziri huyo nchini Vietnam, akiwa katika ziara rasmi ya Kiserikali katika kuimarisha uhusiano na ushirikiano baina pande mbili hizo.
[Picha na Ramadhan Othman,Vietnam.]
MWENGE WA UHURU WAKABIDHIWA KUTOKA NAMTUMBO KWENDA TUNDURU, RASMI KUKAGUA
MIRADI YA MAENDELEO
-
Tunduru-Ruvuma.
Makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru kutoka Wilaya ya Namtumbo kwenda Wilaya ya
Tunduru yamefanyika leo Mei 16, 2025 katika eneo la Mpakate Wil...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment