Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang,alipofika Ikulu ya Nchi hiyo akiwa na ujumbe wake katika ziara
rasmi ya kiserikali ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano baina ya pande mbili hizi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang,alipofika Ikulu ya Nchi hiyo akiwa na ujumbe wake katika ziara
rasmi ya kiserikali ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano baina ya pande mbili hizi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Waziri Mkuu wa Nchini Vietnam Le Hong Anh,baada ya kumaliza mazungumzo yao alipofika katika Ofisi ya Waziri huyo nchini Vietnam, akiwa katika ziara rasmi ya Kiserikali katika kuimarisha uhusiano na ushirikiano baina pande mbili hizo.
[Picha na Ramadhan Othman,Vietnam.]
Kamishna Silayo: Misitu Ni Mkombozi wa Uchumi na Mazingira, Wananchi
Watumie Fursa Zilizopo
-
Na Mwandishi Wetu
Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof.
Dos Santos Silayo, amewahimiza Watanzania kutumia kikamilifu fur...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment