Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar Bandari na Zimamoto imeshinda 2--1


 Mshambuliaji wa timu ya Bandari na wa timu ya Zimamoto wakigombea mpira katika mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan timu ya Zimamoto imeshinda 2--1
 Mshambuliaji wa timu ya  Bandari Mussa Omar akimpita beki wa timu ya Zimamoto Suleiman Jecha .
 Mchezaji wa timu ya Zimamoto Khalfan Ali akimpita beki wa timu ya Bandari Saleh Abdalla katika mchezo wa ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan timu ya Zimamoto imeshinda 2--1
Wapenzi wa mpira Zanzibar wakifuatilia mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar kati ya timu ya Zimamoto na Bandari uliofanyika uwanja wa Amaan.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.