Ujenzi ukiendelea wa kuweza kuegesha meli ya Mpya ya Azam Marine, ikiendelea na ujenzi wake kwa kasi ili kuwezesha kufunga gati katika eneo hilo lilolotengwa kwa ajili ya meli hiyo inapoaza kazi ya kutowa huduma ya Usafiri kwa Wananchi wa Unguja Pemba na Dar-es-Salaam.
Maisha : Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Azindua Dira ya Taifa ya Maendeleo
2050
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika ukumbi wa Mikutano wa
Jakaya Ki...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment