Habari za Punde

Ufunguzi wa Mkutano wa 34 AAPAM Zanzibar Beach Resort.

 
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akifunguwa Mkutano wa 34 wa Jumuiya ya Kiafrika ya Utumishi wa Umma, akifungungwa mkutano huo kwa Niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini.  
 Wajumbe wakisikiliza hutuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa AAPAM, katika ukumbi waZanzibar  Beach Resort


 Waziri wa Utumishi wa Umma Celina Kombani, akitowa machache na kumkaribisha mgeni rasmin, kufunguwa mkutano huo.
 Wajumbe wa Mkutano wa AAPAM wakifuatilia hutuba ya Ufunguzi wa mktano wa 34 wa AAPAM.
 Rais wa AAPAM,  Abdon Agaw Jok Nhial, akitowa hutuba ya jumuiya hiyo wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo wa 34 AAPAM, 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.