Mpanda chombo cha moto akikatisha katikati ya gari mbili zilizokuwa simesimama, bila ya kujali usalama wake kwa hatua hiyo ya kupenya katika msongamano wa magari, kama anavyoonekana pichani akiwa katika harakati za kuhakikisha anapita na huku mvua ikinyesha. Mtumia barabara kwa kutumia vyombo mbalimbali wanahitajika kuwa waangalifu wakati katika barabarani ili kuepusha ajali za makusudi.
KATIBU MKUU ARDHI ARIDHISHWA NA KAZI YA UIMARISHAJI MPAKA WA TANZANIA NA
KENYA
-
Na *Munir Shemweta, WANMM ROMBO*
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony
Sanga ameoneshwa kuridhishwa na kazi ya uima...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment