Mpanda chombo cha moto akikatisha katikati ya gari mbili zilizokuwa simesimama, bila ya kujali usalama wake kwa hatua hiyo ya kupenya katika msongamano wa magari, kama anavyoonekana pichani akiwa katika harakati za kuhakikisha anapita na huku mvua ikinyesha. Mtumia barabara kwa kutumia vyombo mbalimbali wanahitajika kuwa waangalifu wakati katika barabarani ili kuepusha ajali za makusudi.
Mapato yasiyo ya kodi yafikia asilimia 67, OMH yadhamiria kufikia lengo la
mwaka
-
Serikali, kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), imeendelea kuonesha
mafanikio makubwa katika ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi, baada ya
kukusanya S...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment