Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari BenBella wakimsaidia mwanafunzi mwenzao ambae ameanguka hafla wakati wakifanya usafi katika maeneo ya skuli yao asubuhi, kutokana na maelezo ya wanafunzi wenzake wamesema hii ni mara ya kwanza kumtokea mwenzao kuanguka.
Tanzania yaendelea kung’ara kimataifa: Prof. Silayo aongoza kikao cha
viongozi wa Kamisheni ya Misitu Afrika
-
Na Mwandishi Wetu, Accra
Juni 24, 2025
Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Profesa
Dos Santos Silayo, ameongoza kikao cha Ba...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment