Mdau wa habari wa chombo cha habari cha ITV Farouk Karim, akiwa katika harakati za kurusha habari akiwa katika eneo la kazi baada ya kurikodi tukio la kupokelewa Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar katika jengo la Afisi Kuu ya CCM Zanzibar.
WAFANYABIASHARA MKOANI KILIMANJARO WASISITIZWA KUENDELEA KULIPA KODI KWA
MAENDELEO YA TAIFA
-
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu ametoa hamasa kwa
Wafanyabiashara Mkoani hapo kuendelea kulipa kodi stahiki ili maendeleo ya
nchi yazidi ku...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment