Habari za Punde

Wajumbe wa Mkutano wa 34 wa Jumuiya ya Kiafrika ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Wakipata Bidhaa za Wajasiriamali wa Zanzibar.

 Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Joseph Meza (katikati) kushoto Katibu Mkuu Kiongozi Dk. Abdulhamid Mzee na Rais wa AAPAM, wakibadilishana mawazo baada ya kumalizika kwa Mkutano wa 34 AAPAM uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini.  
 Wajumbe wakiagalia bidhaa za Wajasiriamali katika viwanja vya hoteli ya Zanzibar Beach Resort 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.