Moja ya mabaki ya Ofisi za mtawala wa karne ya 15 Mohammed Abdulrahman ( Mkamandume) yalioko huko Pujini Pemba
Kisima cha wivu ambacho kilitumiwa na wake wawili wa mtawala wa karne ya 15 Mohammed Abdulrahman ( Mkamandume) huko Pujini. Inasemekana mke mmoja akiteremka vidaraja na kuteka maji kwa kata na mwengine kwa ndoo bila ya wake hawa kuonana na hatimaye kisima kupewa jina la wivu
Picha na Bakar Mussa - Pemba
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment