Wanafunzi wa skuli mbalimbali katika manispa ya Zanzibar wamekuwa na buhudha wanayopata kwa usafiri wakati wa kurudi majumbani inabidi kuchukuwa muda mwingi vituoni kusubiri daladala, baadhi ya daladala hukataa kuwachukuwa kwa kudai nauli zao ni ndogo, na kuwachukuwa na kukaa katika vituo, kama walivyokutwa wanafunzi hawa wakiwa katika kituo cha daladala Michenzani wakati wa jioni wakisubiri usafiri huo kurudi majumbani. Inabidi taasisi husika kuchukuwa hatuwa za kuwakomboa wanafunzi katika usafiri
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment