Wanafunzi wa skuli mbalimbali katika manispa ya Zanzibar wamekuwa na buhudha wanayopata kwa usafiri wakati wa kurudi majumbani inabidi kuchukuwa muda mwingi vituoni kusubiri daladala, baadhi ya daladala hukataa kuwachukuwa kwa kudai nauli zao ni ndogo, na kuwachukuwa na kukaa katika vituo, kama walivyokutwa wanafunzi hawa wakiwa katika kituo cha daladala Michenzani wakati wa jioni wakisubiri usafiri huo kurudi majumbani. Inabidi taasisi husika kuchukuwa hatuwa za kuwakomboa wanafunzi katika usafiri
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment