Baskeli ni moja ya usafiri unaotumika kwa Wananchi wa Zanzibar tangu zama hizo na kuwa usafiri wa uhakika kwa safari za kawaidi kwa hapa na pale katika mitaa ya Zenji hufika katika sehemu mbalimbali ambazo hazifiki na gari basi baskeli hifika kwa urahisi, na hata wanafunzi hutumia baskeli wakati wanapokwenda skuli na kurudi kama nilivyozikuta baskeli hizo katika moja ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Chukwani Zanzibar zikiwa zimepaki nje ya Chuo hicho.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment