Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej, kushoto akikabidhiwa Vifaa kwa ajili ya Watu Wenye Ulemavu kutoka kwa Msimamizi wa jumuiya ya Wazanzibar wanaoishi Nchini Canada (ZANCANA) Bishara Al Masroori,makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar, Vifaa visaidizi vya Watu wenye Ulemavu vilivyotolewa na Jumuiya ya Wazanzibari wanaoishi Canada {ZANCANA} Kupitia mwakilishi wao aliyepo Zanzibar Bwana Abdalla Issa.ni pamoja na {Wheel chair 6 , Hand stick 7, Crach 6, Baby walker 4, Toys na Pempas box 2 }
BALOZI DKT. NCHIMBI ATEMBELEA NYUMBANI KWA BABA WA TAIFA
-
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi
Dkt Emmanuel John Nchimbi ametembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu
Julius ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment