Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej, kushoto akikabidhiwa Vifaa kwa ajili ya Watu Wenye Ulemavu kutoka kwa Msimamizi wa jumuiya ya Wazanzibar wanaoishi Nchini Canada (ZANCANA) Bishara Al Masroori,makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar, Vifaa visaidizi vya Watu wenye Ulemavu vilivyotolewa na Jumuiya ya Wazanzibari wanaoishi Canada {ZANCANA} Kupitia mwakilishi wao aliyepo Zanzibar Bwana Abdalla Issa.ni pamoja na {Wheel chair 6 , Hand stick 7, Crach 6, Baby walker 4, Toys na Pempas box 2 }
KILIMO CHA KISASA NGUZO YA USALAMA WA CHAKULA NA UCHUMI WA KIJANI
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Tanzania imetajwa kuwa na fursa kubwa ya kuongeza usalama wa chakula na
kukuza uchumi kupitia sekta ya kilimo endapo wakulima ...
5 hours ago
0 Comments