Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej, kushoto akikabidhiwa Vifaa kwa ajili ya Watu Wenye Ulemavu kutoka kwa Msimamizi wa jumuiya ya Wazanzibar wanaoishi Nchini Canada (ZANCANA) Bishara Al Masroori,makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar, Vifaa visaidizi vya Watu wenye Ulemavu vilivyotolewa na Jumuiya ya Wazanzibari wanaoishi Canada {ZANCANA} Kupitia mwakilishi wao aliyepo Zanzibar Bwana Abdalla Issa.ni pamoja na {Wheel chair 6 , Hand stick 7, Crach 6, Baby walker 4, Toys na Pempas box 2 }
Watia Nia Nafasi za Ubunge na Uwakilishi Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wachukua Fomu za Kugombea Nafasi Hizo
-
KATIBU wa CCM Wilaya ya Mfenesini, Veronica Ndaro, akimkabidhi Mihayo Juma
Nhunga, fomu ya kuwania uwakilishi wa jimbo la Mwera.
KATIBU wa CCM Wilaya ya M...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment