Wananchi wakipata huduma ya kununua umeme katika kituo cha Tukuza michezani, Kituo hicho hutowa huduma ya mannunuzi ya Umeme hadi saa nne usiku, na wananchi wanataka huduma hiyo iegezwe muda hadi saa tano usiku. ili waweze kupata huduma hiyo kwa uhakika wakati wanapochelewa makazini.
Kilimanjaro Marathon 2026 Yazinduliwa Dar es Salaam
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar
es Salaam, Albert Chalamila, amezindua toleo la 24 ...
1 hour ago
kwa nini wasiongeze vituo vingine ili kupunguza msongamano!! au maduka ya kawaida tu yawe yanauza umeme?? kama huku uk? Wacheni ukoloni huo!!!! mdau Leicester. Shemejii!! Maladu ladu!! mijichipsi!!
ReplyDelete