Wananchi wakipata huduma ya kununua umeme katika kituo cha Tukuza michezani, Kituo hicho hutowa huduma ya mannunuzi ya Umeme hadi saa nne usiku, na wananchi wanataka huduma hiyo iegezwe muda hadi saa tano usiku. ili waweze kupata huduma hiyo kwa uhakika wakati wanapochelewa makazini.
GF TRUCKS & EQUIPMENT YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA BIASHARA YA
KIMATAIFA SABASABA 2025
-
Kampuni ya Gf Trucks & Equipment Ltd imeibuka mshindi wa jumla wa maonyesho
ya biashara ya kimataifa 2025 yanayoendelea jijini Dar es salaam.
Kupitia ki...
33 minutes ago
kwa nini wasiongeze vituo vingine ili kupunguza msongamano!! au maduka ya kawaida tu yawe yanauza umeme?? kama huku uk? Wacheni ukoloni huo!!!! mdau Leicester. Shemejii!! Maladu ladu!! mijichipsi!!
ReplyDelete