Wananchi wakipata huduma ya kununua umeme katika kituo cha Tukuza michezani, Kituo hicho hutowa huduma ya mannunuzi ya Umeme hadi saa nne usiku, na wananchi wanataka huduma hiyo iegezwe muda hadi saa tano usiku. ili waweze kupata huduma hiyo kwa uhakika wakati wanapochelewa makazini.
TPDC YANG'ARA KATIKA MAONESHO YA 49 YA SABASABA, YASHINDA TUZO YA MAZINGIRA
-
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeibuka mshindi katika
Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu kama
Sabasaba, b...
3 hours ago
kwa nini wasiongeze vituo vingine ili kupunguza msongamano!! au maduka ya kawaida tu yawe yanauza umeme?? kama huku uk? Wacheni ukoloni huo!!!! mdau Leicester. Shemejii!! Maladu ladu!! mijichipsi!!
ReplyDelete