Meneja Masoko wa PBZ Seif Suleiman, kushoto akimkabidhi mwakilishi wa Msikiti wa Ijumaa Mzambarauni Fujoni Wilaya ya Kaskazini B. Salum Chum, mabati 100 kwa ajili ya matumizi ya msikiti huo, PBZ Islamic Benki hutsaidia na kutoa misada kwa jamii ikiwa ni moja ya kukuza uhusiano na wateja wake na kutowa moja ya faida inayopatikana katika kutowa huduma za wateja wake na faida hutumia kusaidia shughuli za jamii Zanzibar.
Watia Nia Nafasi za Ubunge na Uwakilishi Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wachukua Fomu za Kugombea Nafasi Hizo
-
KATIBU wa CCM Wilaya ya Mfenesini, Veronica Ndaro, akimkabidhi Mihayo Juma
Nhunga, fomu ya kuwania uwakilishi wa jimbo la Mwera.
KATIBU wa CCM Wilaya ya M...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment