Habari za Punde

Balozi wa umoja wa Falme za kiarabu Tanzania ajitambulisha kwa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein Ikulu leo.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu nchini Tanzania Abdulla Ibrahim AL-Suwaidi,alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu Nchini Tanzania Abdulla Ibrahim AL-Suwaidi,baada ya mazungumzo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo (Picha na Ramadhan Othman Ikulu)                                                

2 comments:

  1. Kichwa cha khabri hakilingani na maelezo

    ReplyDelete
  2. Shukran mkuu kwa kuliona hilo. Tayari tumerekebisha

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.