Habari za Punde

Barabara ya Mwera Amaani tambarare

 


Uimarishaji wa Miundombinu ni moja ya kuimarisha na kuboresha maisha ya wananchi katika kutowa huduma ya kusafirisha mazao kutoka mashambani na kwenda katika masoko ili kukuza kipato chake.
 
Barabara hii ni mkombozi wa Wakulima wa njia ya Wilaya ya Kati husafirisha bidhaa zao kwa usalama na amani kinyume na hapo mwanzo usafiri wa njia hii ulikuwa ni wa shida kutokana na barabara hii kutokuwa na kiwango cha lami na kurahisisha usafiri kutoka sehemu moja kwenda nyengine. kwa muda mfupi

2 comments:

  1. Nawapa hongera wizara ya miundombinu kwa ujenzi mzuri wa barabara lakini aibu ikopalepale miaka50 ya mapinduzi tunajenga barabara kama hizi zilokuwa hazina viwango vya ubara, na mitaro ya kupitia maji yamvua, garimbili haziwezikupisha.Tunaelekea wapi?

    ReplyDelete
  2. Angalia sana maneno kama:miaka 50, maji ya mvua, gari mbili, haziwezi kupishana.

    Unahitaji kutenganisha maneno kama nilivyofanya mimi
    Hata hivyo, ahsante kwa maoni mazuri!

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.