Habari za Punde

Dk Bilal awafariji majeruhi wa mlipuko wa Bomu Arusha



 Makamu wa raisi Dkt Mohamed Gharib Bilal Pamoja na Mh.Stephen Masele wakiwapa pole majeruhi wa mlipuko wa bomu uliotokea majira ya saa 4;35 asubuhi kwenye uzinduzi wa kanisa la St.Joseph Mfanyakzi maeneo ya Olasit jijini Arusha
Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT)Dkt Alex Malasusa akiwafariji wananchi baada ya kupewa nafasi ya kuwaombea majeruhi waliolazwa katika hospital ya Mount meru baada ya kulipukiwa na kitu kinachodhani kuwa ni bomu

Picha zote na Mahmoud Ahmad Arusha



1 comment:

  1. Poleni ndugu zetu wa Tanganyika kwa msiba namajeruhi,sisi wenzenu mambo kama haya hutangazwa vibaya na vyombo vya habari bila ya uchunguzi wa wahusika

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.