Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na wanafunzi wa Skuli ya Fidel Kastro Pemba leo jioni,Rais alichukua hatua hiyo kusikiliza changamoto mbali mbali zinazoikabili skuli pamoja na wanafunzi wanaosoma katika Skulini hapo,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
BENKI YA STANDARD CHARTERED YAFANYA USAFI RUNGWE BEACH
-
Benki ya Standard Chartered Tanzania kwa kushirikiana na taasisi ya NIPE
FAGIO wamefanya zoezi la usafi katika fukwe za Rungwe Beach, jijini Dar es
Salaam,...
51 minutes ago
Huyu mh sianaziara ya kichama? naona anazungumza na wanafunzi au ndio wanachama wake?
ReplyDelete