Habari za Punde

Kamati Maalum ya halmashauri kuu ya taifa ya CCM yakutana leo Zanzibar


Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwasalimia viongozi wa Chama alipowasili uwanja wa Ofisi ya CCM KIsiwandui Mjini Unguja kukiongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya Taifa kilichofanyika leo.

Baadhi ya Wajumbe wa Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya Taifa,wakipitia agenda mbali mbali za kikao hicho kinachoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa mikutano wa CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo.

Baadhi ya Wajumbe wa Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya Taifa,wakipitia agenda mbali mbali za kikao hicho kinachoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa mikutano wa CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akiongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,katika ukumbi wa CCM KIsiwandui leo,(kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai, na Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Taifa,Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi,(kushoto) .[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.