Mmoja wa Miti ya Historia katika mji wa Zanzibar ukiwemo huu na ule ulioko katika maeneo ya Mji Mkongwe Forodhani ikipendezesha mji wa Zanzibar kwa Watalii wanaotembela maeneo ya historia ya Zanzibar na kujionea kumbukumbu ya Zanzibar Ukiwa katika mazingira mazuri.
MBUNGE DKT KIMEI APEWA NAFASI KUBWA NA WANANCHI KUTETEA KITI CHA UBUNGE
VUNJO
-
Jimbo la Vunjo limeendelea kuwa miongoni mwa majimbo yenye msisimko mkubwa
kila uchaguzi mkuu unapokaribia, lakini awamu hii hali inaonekana kuchukua
sura ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment