Mmoja wa Miti ya Historia katika mji wa Zanzibar ukiwemo huu na ule ulioko katika maeneo ya Mji Mkongwe Forodhani ikipendezesha mji wa Zanzibar kwa Watalii wanaotembela maeneo ya historia ya Zanzibar na kujionea kumbukumbu ya Zanzibar Ukiwa katika mazingira mazuri.
CAG AFANYA ZIARA ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO
-
Na Hamis Dambaya, Ngorongoro.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Charles Kichere ametoa
wito kwa watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngo...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment