Meneja Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Seif Suleiman kulia akimkabidhi fulana Mrajisi wa Baraza la Wauguzi Zanzibar Haji Haji Khamis, kwa ajili ya kusherehekea Siku ya Wauguzi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka Mei 12. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za PBZ Darajani akishuhudia makabidhiano hayo Msaidizi Muuguzi Wanu Bakari.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment