UIMARISHAJI wa miundombinu ya barabara katika maeneo ya mjini imechangia kupunguza msongamano wa magari na kupunguza ajali za mara kwa mara, kama inavyoonekana pichani barabara ya kwa mchina ikifanyiwa matengenezo makubwa ya kuweka kiplefti baina ya barabara ya kwamchina na inayotokea Jangombe.ili kuimarisha njia hiyo, imekuwa na watumiaji wengi kutokana na mji kuwa mkubwa na ujenzi kuendelea nje ya mji.
THE FORGOTTEN AFRICAN BELIEFS: WHY WE TURNED AWAY AND WHAT COMES NEXT.
-
In this great future, you can't forget your past, Bob Marley once said, and
> that truth urges us to look closer at the stories we’ve been told. If the...
20 minutes ago
Ni jambo jema, ila SMZ ifikirie pia kuweka mitaro pembezoni mwa barabara hizo.
ReplyDeleteHilis sijambo jema karine ya 21 bado barabara tunazo jenga,hazina viwango,mitaro ya kupita maji yamvua na majitaka. Tunajisifu tuna imarisha miundo mbinu huu ni wehu wa kufikiri ? au uvivu wakufikiri?
ReplyDelete