Mradi wa Taa za Solar katika barabara mbalimbali za mji mkongwe zikitowa huduma hiyo kwa Wananchi wakati wa usiku. Kama zinavyoonekana katika barabara ya Michenzani -Maisara na Michezani kwenda Mlandege.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
4 hours ago
nakubaliana nawe waaaa , lakini isiwe kwa muda , tuweze kuendeleza hizo taa , sio tusubiri mpaka wafadhili watupige jeki, kama tulitaka kujitawala basi tuonyeshe uwezo huo, sio kulimbikiza mali nchi za nje unaofanywa na sehemu kubwa ya viongozi wa SMZ , sina haja kusema wa muungano hao wamekubuhu. Tuvunje muungano maendeleo yatakuja , tukikumbatia muungano , maendeleo kama haya ya taa barabarani yatachukua nusu karne kama mnavyoona.
ReplyDeleteImependeza sana wanstahiki kupewa sifa yao mcheza kwao hutunzwa lakini chaku sikitisha zaidi hayo machaka katika hizo barabara imekuwa kama vile Binadamu asiejuwa kwenda kwa kinyozi au hata matumizi ya kiwembe .
ReplyDeletenice view of zenji at least na sisi tujihisi fresh kidogo m/mungu atujalie na sisi tukaribie maendeleo ya visiwa kama vya majirani zetu wa east africa na vile vengine vya africa kama mauritius,seychelles,cape verde,São Tomé and Príncipe na vyengine vyote.
ReplyDeletetukizidisha bidii ya maendeleo tutawafikia tu inshalah.
Huu mradi utaendelea na Pemba...?
ReplyDeleteKweli ni kitu cha kupendeza lakini miradi kama hii ishapitwa nawakati miakamingi kwa mwenzetu au kwakuawa hukunjaani, tusifutu? inasemekana hata hayo makenezim ya ubabaishaji,taa zenye ni zahali wakati sarahisi zipo au ndio watu wapate ulaji
ReplyDelete