Habari za Punde

Yanga nao wako Gombani Pemba

waandishi wa HABARI WA VYOMBO MBALI MBALI KISIWANI PEMBA WAKIFANYA MAHOJIANO NA MCHEZAJI WA YANGA, HARUNA NIYONZIMA, KATIKA UWANJA WA MICHEZO GOMBANI KISIWANI PEMBA, LEO ASUBUHI

Wakati Simba ikijifua katika kisiwa cha Unguja , timu ya Yanga nayo iko kisiwa cha Pemba ikijifua kujiandaa na pambano lao na watani wao wa jadi Simba hapo siku ya Jumamosi.
 
Pichani mchezaji wa Yanga , Haruna Niyonzima akihojiwa na waandishi wa habari, Suleiman Rashid Omar na Is-hak Mohammed wakati wakiwa katika mazoezi makali ya kutaka kulipiza kisasi cha kufungwa 5-0 na Simba, kiwanja cha Gombani , Chakechake Pemba.
 
Picha na mdau wa facebook

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.