KOcha Mkuu wa Simba akikinowa Kikosi chake katika Kisiwa cha Marashi ya Karafuu kwa ajili ya mechi yao na timu ya Yanga unaotarajiwa kufanyika jumamosi 18-5-2013 mjini Dar, Kikosi hicho kikiwa kimejichimbia Kisiwani huko na kufanya mazoezi yao katika Uwanja wa Mao Zenj.Kama anavyoonekana akitowa mafunzo kwa kikosi chake.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment