Wananchi wakifuatilia kusoma vichwa vya habari kupitia magazeti mbalimbali katika moja ya kituo cha kuuziamagazeti malindi, Ikiwa wakati huu magazeti mengi yamechapisha rasimu ya Katiba ya Tanzania.Watu wengi husoma vichwa vya habari za magazeti na kuona lipi linalomvutia na kununua kwa ajili ya kujisomea zaidi habari ziliomo.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment