Wananchi wakifuatilia kusoma vichwa vya habari kupitia magazeti mbalimbali katika moja ya kituo cha kuuziamagazeti malindi, Ikiwa wakati huu magazeti mengi yamechapisha rasimu ya Katiba ya Tanzania.Watu wengi husoma vichwa vya habari za magazeti na kuona lipi linalomvutia na kununua kwa ajili ya kujisomea zaidi habari ziliomo.
BENKI YA STANDARD CHARTERED YAFANYA USAFI RUNGWE BEACH
-
Benki ya Standard Chartered Tanzania kwa kushirikiana na taasisi ya NIPE
FAGIO wamefanya zoezi la usafi katika fukwe za Rungwe Beach, jijini Dar es
Salaam,...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment