Wananchi wakifuatilia kusoma vichwa vya habari kupitia magazeti mbalimbali katika moja ya kituo cha kuuziamagazeti malindi, Ikiwa wakati huu magazeti mengi yamechapisha rasimu ya Katiba ya Tanzania.Watu wengi husoma vichwa vya habari za magazeti na kuona lipi linalomvutia na kununua kwa ajili ya kujisomea zaidi habari ziliomo.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment