Meneja Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Seif Suleiman kulia akimkabidhi Fulana Mratibu wa Benki ya Damu Zanzibar Dkt. Bakari Magarawa, kwa ajili ya Siku ya Maadhimisho ya Siku ya Kuchangia Damu Zanzibar itakayofanyika katika viwanja vya Kituo cha Huduma za Damu Salama Amaan. Maadhimisho hayo hufanyika kila mwaka tarehe 12, Juni na kwa Wananchi kwa kuchangia Damu kwa ajili ya kuweka katika Benki ya Damu Zanzibar kwa ajili ya kusaidia Wananchi mbalimbali wanapokuwa na matatizo ya kuengezea damu.Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za PBZ Darajani na kushoto Ofisa Masoko wa PBZ Mwanaharusi Ali Mohamed.
TARURA KIGAMBONI YAANZA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI KM 42 KUPITIA MRADI WA
DMDP II
-
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanza kutekeleza ujenzi
wa barabara Km 42 kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji la
Da...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment