Mhe. Omar Yussuf Awasilisha Bajeti ya Serikali Katika Kikao cha Bajeti.
FCC YAWANOA WAFANYABIASHARA DODOMA KUHUSU MADHARA YA BIDHAA BANDIA
-
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Salvator
Chuwa,akizungumza wakati wa semina maalum kwa wafanyabiashara mkoani Dodoma
yenye lengo la ...
7 hours ago
haya mambo ya kurithi upumbavu wa kikoloni jamani yaishe, kuonyesha hicho kibegi ndio nini ? kwani kilichomo humo ndani ya begi kimejiandika chenyewe au kimeandikwa na watu , na kama kimeandikwa na watu cha ajabu ni nini kukionyesha?
ReplyDeleteNa vile vile yale mambo ya kuingia kwa spika na rungu na watu kusimama ndio kitu gani? kama si upumbavu? na wakati wa kutoka katika vikao kumwinamia spika kama si ukafiri na upumbavu ni nini? naomba nielimishwe