Mhe. Omar Yussuf Awasilisha Bajeti ya Serikali Katika Kikao cha Bajeti.
INSPEKTA DK ONYANGO APEWA UBALOZI WA AMANI
-
*Mkuu wa Chuo Kikuu cha LeadImpact, Profesa Cletus Bassey (wa pili kulia)
akimfalisha joho, Inspekta wa Polisi, Dk. Christina Onyango mara baada ya
kutunu...
2 hours ago
haya mambo ya kurithi upumbavu wa kikoloni jamani yaishe, kuonyesha hicho kibegi ndio nini ? kwani kilichomo humo ndani ya begi kimejiandika chenyewe au kimeandikwa na watu , na kama kimeandikwa na watu cha ajabu ni nini kukionyesha?
ReplyDeleteNa vile vile yale mambo ya kuingia kwa spika na rungu na watu kusimama ndio kitu gani? kama si upumbavu? na wakati wa kutoka katika vikao kumwinamia spika kama si ukafiri na upumbavu ni nini? naomba nielimishwe