Mhe. Omar Yussuf Awasilisha Bajeti ya Serikali Katika Kikao cha Bajeti.
MBUNGE DKT KIMEI APEWA NAFASI KUBWA NA WANANCHI KUTETEA KITI CHA UBUNGE
VUNJO
-
Jimbo la Vunjo limeendelea kuwa miongoni mwa majimbo yenye msisimko mkubwa
kila uchaguzi mkuu unapokaribia, lakini awamu hii hali inaonekana kuchukua
sura ...
1 hour ago
haya mambo ya kurithi upumbavu wa kikoloni jamani yaishe, kuonyesha hicho kibegi ndio nini ? kwani kilichomo humo ndani ya begi kimejiandika chenyewe au kimeandikwa na watu , na kama kimeandikwa na watu cha ajabu ni nini kukionyesha?
ReplyDeleteNa vile vile yale mambo ya kuingia kwa spika na rungu na watu kusimama ndio kitu gani? kama si upumbavu? na wakati wa kutoka katika vikao kumwinamia spika kama si ukafiri na upumbavu ni nini? naomba nielimishwe