Mhe. Omar Yussuf Awasilisha Bajeti ya Serikali Katika Kikao cha Bajeti.
UJENZI BARABARA YA KAHAMA - BULYANHULU KWA UWEZESHAJI WA MIGODI YA BARRICK
NI MFANO WA UWEKEZAJI BORA SEKTA YA MADINI NCHINI
-
Mnamo mwezi Machi mwaka jana wakati Serikali kupitia Wakala wa Barabara
Tanzania (TANROADS) iliposaini mkataba wa ujenzi wa barabara kwa kiwango
cha lami...
2 hours ago
haya mambo ya kurithi upumbavu wa kikoloni jamani yaishe, kuonyesha hicho kibegi ndio nini ? kwani kilichomo humo ndani ya begi kimejiandika chenyewe au kimeandikwa na watu , na kama kimeandikwa na watu cha ajabu ni nini kukionyesha?
ReplyDeleteNa vile vile yale mambo ya kuingia kwa spika na rungu na watu kusimama ndio kitu gani? kama si upumbavu? na wakati wa kutoka katika vikao kumwinamia spika kama si ukafiri na upumbavu ni nini? naomba nielimishwe