Mwenyekiti wa Mkutano wa kutoa Maoni ya Katiba Mpya Tanzania Jasadi A Bungala, akiendesha Kikao cha kutowa maoni ya Katiba Mpya kupitia Jumuiya ya Watu Wenye Ulemavu Unguja kilichofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni.
Wajumbe wa Mkutano wa kutoa Maoni kupitia Jumuiya ya Watu wenye Ulemavu Unguja wakiwa katika mkutano huo wa kuwasilisha maoni yao kuhusu katiba mpya, iliowashirikisha Watu wenye Ulemavu Unguja, ulioandaliwa na Kituo cha Masuala ya Ulemavu na Maendeleo Jumuishi.
Wajumbe wa mkutano wa kutoa maoni ya Katiba Mpya kupitia Jumuiya ya Walemavu Zanzibar wakimsikiliza mtoa mada katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi mnazimmoja.
No comments:
Post a Comment