Watalii wakiwa katika matembezi yao katika mitaa ya mji mkongwe kutembelea maeneo ya historia ya Unguja kama walivyokutwa na mpiga picha katika maeneo ya shangani Posta.
Watalii wakiwa katika matembezi yao katika mitaa ya darajani wakiwasili kutoka Dar -es- Salaam kuaza na shughuli zao za kitalii katika visiwa vya Zanzibar.
No comments:
Post a Comment