GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
5 hours ago
Kama ni kweli SMZ imepania ktk afya kama anavyosema Dr.Shein, nadhani Z'bar itapiga hatua.
ReplyDeleteJambo la msingi sasa ni kuboresha elimu ya sekondari iweze kutoa wanafunzi wengi wa sayansi watakaoweza kujiunga na chuo hicho.
Suala la kuunganisha chuo cha afya mbweni na SUZA ni jambo jema lkn. pia tufikirie kukiendesha chu hiki ktk misingi ya utandawazi ili ivutie w'fuzi kutoka nje ya Z'bar.
Hii itasaida chuo kuonekana chenye sura ya kitaifa na kimataifa na pia kujiendesha kibiashara kwani SMZ hawataweza kukiendesha SUZA milele!