Habari za Punde

Magazetini Leo Bongo Tz.


1 comment:

  1. Kama ni kweli SMZ imepania ktk afya kama anavyosema Dr.Shein, nadhani Z'bar itapiga hatua.

    Jambo la msingi sasa ni kuboresha elimu ya sekondari iweze kutoa wanafunzi wengi wa sayansi watakaoweza kujiunga na chuo hicho.

    Suala la kuunganisha chuo cha afya mbweni na SUZA ni jambo jema lkn. pia tufikirie kukiendesha chu hiki ktk misingi ya utandawazi ili ivutie w'fuzi kutoka nje ya Z'bar.

    Hii itasaida chuo kuonekana chenye sura ya kitaifa na kimataifa na pia kujiendesha kibiashara kwani SMZ hawataweza kukiendesha SUZA milele!

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.