Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsikiliza Dkt. Mugisha Clement, aliyekuwa akimpa maelezo kuhusu alivyompokea Mjumbe wa Tume ya Katiba, Dkt. Sengondo Mvungi, aliyelazwa katika Kitengo cha Uangalizi Maalum (ICU) MOI katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, wakati alipokwenda kumjulia hali, kufuatia kujeruhiwa na majambazi usiku wa kuamkia jumapili huko nyumbani kwake maeneo ya Kibamba. Picha na OMR
Furahika Yaja na Suluhisho la Ajira kwa Vijana Kuanzia Darasa la Saba
-
NA MWANDISHI WETU
UONGOZI wa Chuo cha Ufundi cha Furahika kimetangaza kozi mpya ya
kutengeneza sabuni ya maji na mche kwa wahitimu wa darasa saba, kidato c...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment