Habari za Punde

Mkutano wa ZEC na wadau wa uchaguzi , Pemba

 Maafisa wa Tume ya Uchaguzi ZEC, wakimsikiliza mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi Jecha Salim Jecha, huko katika hoteli ya Hifadhi Pemba.
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Juma Kassim Tindwa, akieleza jambo juu ya suala la ulinzi lilivyokuwa wakati wote wa zoezi la uandikishaji wapigakura katika mkoa wake . huko katika hoteli ya Hifadhi Pemba, katika mkutano wa Tume ya ZEC na Wadau wa Uchaguzi Picha na bakar Mussa-PEMBA
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ZEC, Salim  Kassim, akitowa maelezo juu ya mkutano wa Tume ya Uchaguzi ZEC na Wadau wa Uchaguzi huko Pemba
.
Mwenyekiti wa Tume ya Ucahguzi Zec, Jecha Salim Jecha , akifunguwa Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi Pemba kujadili vikwazo vilivyopelekea wananchi kutojitokeza kwa wingi akatika vituo vya Uandikishaji wapiagakura wapya, huko katika hoteli ya Hifadhi Pemba. Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Hamad Bakar Ali, akichangia juu ya vikwazo vilivyosababisha wananchi wasijitokeze kwa wingi katika kujiandikisha katika dafatari la wapigakura.

Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ZEC, Senga Salmin, akitowa maelezo juu ya umuhimu wa Cheti cha kuzaliwa kwa ajili ya kujiandikisha katika Dafatari la wapigakura huko Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.