Mradi mkubwa wa usambazaji wa maji safi na salama kwa Wananchi mbalimbali katika kisiwa cha Pemba umeshamiri kwa utandazaji wa mabomba ya maji katika sehemu mbalimbali za Vijiji vya Pemba, kama yanavyoonekana mabomba haya yakiwa katika Kijiji cha Micheweni yakisubiri kutandikwa kwa ajili ya kuwapatia maji Wananchi wa maeneo hayo.
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment