Mradi mkubwa wa usambazaji wa maji safi na salama kwa Wananchi mbalimbali katika kisiwa cha Pemba umeshamiri kwa utandazaji wa mabomba ya maji katika sehemu mbalimbali za Vijiji vya Pemba, kama yanavyoonekana mabomba haya yakiwa katika Kijiji cha Micheweni yakisubiri kutandikwa kwa ajili ya kuwapatia maji Wananchi wa maeneo hayo.
BALOZI NCHIMBI ASHIRIKI KUMUAGA MZEE MSUYA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi
akitoa salaam na heshima za mwisho wakati wa kuaga mwili wa Hayati Mzee
Cleopa...
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment