KUTOKANA
na Chama cha soka ZFA taifa Pemba, kuchelewa kufungua milango miwili, hasa
kwenye michezo yenye watazamaji wengi, husababisha vurumai na fujo kwenye
mlango mmoja, ambapo hali hiyo ilijitokeza juzi kwenye mchezo wa lidi daraja la
kwanza taifa Pema, baina ya timu ya Shaba ya Kojani na Mwenge ya Wete uliofanyika katika uwanja wa Gombani (picha na Haji Nassor, Pemba)
UBIA WA BARRICK NA TWIGA WAZIDI KUSTAWISHA UCHUMI NA THAMANI YA PAMOJA
NCHINI TANZANIA
-
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa akizungumza kwenye mkutano na
waandishi wa habari Julai 7,2025 katika Mgodi wa Barrick Bulyanhulu - Picha
: Kad...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment