Habari za Punde

Ligi daraja la Kwanza kanda ya Pemba : Shaba yaitandika Mwenge 2-1

 
MSHAMBULIAJI wa timu ya Mwenge Elam Sango, akiruka juu kukimbia daluga la mchezaji wa timu ya Shaba, Yunus Hilali kwenye mchezo wa ligi daraja la kwanza taifa Pemba, uliochezwa uwanja wa Gombani, ambapo timu ya Shaba ilishinda kwa magoli 2-1 (picha na Haji Nassor, Pemba)



MSHAMBULIAJI machachari wa timu ya Shaba ya Kojani, Sadiki Ali (katikati) akiwatoka walinzi wa timu ya Mwenge kwenye mchezo wa ligi daraja la kwanza taifa Pemba, uliochezwa uwanja wa Gombani, ambapo katika mchezo huo Mwenge ilifungwa magoli 2-1 (picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.