WANAKIKUNDI cha
upakasaji mikoba, makawa, vipochi vya ukili na upandaji miti kilichopo kijiji
cha Changaweni wilaya ya Mkoani Pemba, ambao wengi wao ni walemavu, wakiwa
kazini katika kazi yao hiyo ambapo mkoba mmoja wa kisasa wenye zipu ni shilingi
15,000/- hadi shilingi 12,000/- (picha
na Haji Nassor, Pemba
Sheha wa shehia ya Vitongoji wilaya ya Chake
chake Pemba Nd: Salim Ayoub akizungumza na wanajumuia ya ‘Matumaini
mapya’ ya wanawake wenye ulemavu waliopo Vumba shehiani humo, akifungua mafunzo
ya siku kumi juu ya ufugaji bora, uwekaji kumbu kumbu na utunzaji fedha
mafunzo yaliofanyika skuli ya Vitongoji (picha
na Haji Nassor, Pemba)
No comments:
Post a Comment