Habari za Punde

Waziri Mbarawa azindua mradi wa njia ya mawasiliano ( Microwave Link) ChakeChake Pemba

 
WAZIRI wa sayansi na Teknolojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe: Pfo, Makame Mnyaa Mbarawa akikata utepe kuashiria kufungua mradi wa njia ya mawasiliano (Microwave link) kwenye mtambo wa TTCL Michakaini Chakchake Pemba, ambapo mawasiliano hayo yameunganisshwa baina Dar-es Salaam, Pemba na Unguja (picha na Haji Nassor, Pemba)

WAZIRI wa sayansi na Teknolojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe: Pfo, Makame Mnyaa Mbarawa, akizungumza moja kwa moja (live) na watendaji wa TTCL walioko jijini Dar –es Salaam, mara baada ya kuzindua mradi wa njia ya mawasiliano (Microwave link) kwenye mtambo wa TTCL Michaini Chakchake Pemba, ambapo mawasiliano hayo yameunganisshwa baina Dar-es Salaam, Pemba na Unguja (picha na Haji Nassor, Pemba)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.