Mhe. Samuel Sitta achaguliwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.kwa Kura nyiingi.
Mhe. SamuelSitta aibuka kidedea katika uchaguzi wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti waBunge Maalum la Katiba Tanzania kwa kura nyingi na kumpita mpizani wake Hashim Rungwe Spunda, Katika uchaguzi uliofanyika jioni hii. katika ukumbi wa Bunge la Katiba Mjini Dodomas.
Mhei Samuel Siita katika uchaguzi huo ameibuka kidedea kwa ushindi mkubwa wa kupata kura 487, dhidi yampizani wake Mhe Hashim Rungwe aliyepata kura 69 katika uchaguzi huo.
Wajumbe waliopiga kura katika ukumbi huo ni 563 na kura 7 zimeharibika.
Matokeo hayo yametangazwa na msimamizi wa uchaguzi huo Katibu wa Bunge,ametowa matokea hayo na ukumbi mzima uliibuka na nderemo na vifiji vya kumshangilia mshindi Mwenyekiti Mpya ewa Bunge la Katiba Mhe, Samuel Sitta na ukumbi wate ukishangilia Sitta sitta..........................
Mkutano huo umeharishwa hadi kesho saa kumi jioni kwa kumchagua Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba ambae atatoka Zanzibar kwa mujibu wa Sheria ikiwa Mwenyekiti atatoka Tanzania Bara basi Makamo wake atatoka Zanzibar.
NMB Yapewa Tuzo Maalum na WCF kwa Uzingatiaji Bora wa Uwasilishaji wa
Michango ya Wafanyakazi
-
Dar es Salaam
Benki ya NMB imeendelea kuthibitisha uongozi wake katika masuala ya
rasilimali watu baada ya kutunukiwa tuzo maalum na Mfuko wa Fidia kw...
1 hour ago
@ Sasa Mogorila wamepata Gorila Mwenzao, Labda Bunge litakua na Heshima na kumuheshimu Mwenyekiti Wao ... Kwasababu ni:
ReplyDelete1 Mtanganyika Mwenzao.
2. CCM Mwenzao anaeikandia Katiba ya Warioba kuwa na muundo wa serikali 3.
3. Ni Mu-umini wakuwaona Wazanziobari Wanapoteza Identity zao kwakutawaliwa na Watanganyika.
4. Ni Muumini wa muungano wa serikali 1 tu...
tunataka ismail jussa awe kwenye hio nafasi mojawapo wengine hatuwaamini , ismail jussa kumbuka kuwa upo hapo kwa ajili ya znz , usikubaliane na mtu kitu chochote kile kwa manufaa ya nafsi yako , wajumbe wengine tunawajua ni vivuli tu
ReplyDeleteMakamu atatoka Zanziba na ni lazima awe mwanamke. Kwa hivyo Jussa hana nafasi hiyo. Tunataka serikali moja.
Deleteserikali moja unataka wewe peke yako bwana mkubwa , waznz wengi hawataki , kujua mbichi na mbivu tufanye kura ya maoni tuone , hawawezi kuwa wenye maarifa na wasio kuwa sawa......
ReplyDeleteBora serikali ziwe nne. Moja ya muungano,nyengine ni ya Tanganyika.Iwepo ya Unguja na ya nne ni ya Pemba ili kukata kiromoromo
ReplyDelete