SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
HOTUBA
YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA IDARA MAALUM ZA SMZ
UTEKELEZAJI WA SERIKALI ZA MITAA
MHE. HAJI OMAR KHERI
KUHUSU
MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/2015
KATIKA
BARAZA LA WAWAKILISHI LA ZANZIBAR
YALIYOMO
Serikali za Mitaa ndio mhimili mkubwa
wa utekelezaji wa majukumu ya Serikali katika lengo zima la kuhakikisha kunakuwepo
maendeleo endelevu katika nchi yetu. Katika kufanisha azma hiyo, Serikali
kupitia Mpango wa Mageuzi ya Serikali za Mitaa imedhamiria kuziwezesha Mamlaka
za Serikali za Mitaa kutoa huduma bora kwa wananchi. Hata hivyo, jukumu hilo haliwezi kutekelezeka kama
Halmashauri zetu hazitokuwa na wataalamu pia hazitaweza kuongeza mapato na kuwa
na nidhamu katika matumizi.
Lengo ni kuwa na Serikali za Mitaa
zenye Wataalamu wake wenyewe zenye kubuni mipango yake ya maendeleo na kuweza
kuitekeleza kwa rasilimali zao wenyewe. Ushirikishwaji wa wananchi na kuweza
kutoa maamuzi yao
yenyewe ni mambo ya msingi yatakayozingatiwa katika mpango huo mzima.
Kutokana na
hali hiyo, Serikali itaimarisha usimamizi wa mapato na matumizi katika Serikali
za Mitaa. Hivyo, Taasisi hizo zinawajibu wa kuhakikisha kuwa Sheria, Kanuni na
Taratibu za Fedha zinazingatiwa. Aidha, Ofisi yangu itahakikisha Serikali za
Mitaa zinaongeza uwazi katika mapato na matumizi ili kuwawezesha wananchi kushiriki
katika kupanga, kufuatilia na kutathmini Mipango na utekelezaji kulingana na
vipaumbele vyao.
Kwa mwaka wa fedha 2013/2014 Mamlaka za
Serikali za Mitaa kwa ujumla wake zimefanikiwa kutekeleza malengo yake kama yalivyopangwa. Majadweli ya hapo chini (Namba 1 hadi
13) yanaonesha uchambuzi wa kina wa malengo, shughuli zilizopangwa kutekelezwa
na utekelezaji wake. Aidha, kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Mamlaka za Serikali za
Mitaa zimepanga kutekeleza malengo ambayo pia yameoneshwa kwa ufasaha.
Kwa mwaka wa fedha 2013/2014, Mamlaka za Serikali za
Mitaa kwa ujumla wake zilikadiriwa kukusanya jumla ya TZS 4,783,343,580/=. Hadi Machi 2014, Mamlaka hizo
zimefanikiwa kukusanya 2,934,237,898 milioni
sawa na asilimia 61 Aidha, kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Serikali za Mitaa zimekadiria kukusanya jumla ya 5,162,581,500/= kutoka katika
vyanzo vyake mbali mbali (Angalia Kiambatanisho Nambari. 1).
Kiambatanisho Nambari 1: Makadirio ya Makusanyo, Makusanyo Halisi kwa mwaka 2013/2014 na Makadirio ya Makusanyo kwa Mwaka 2014/2015
Namba
|
Taasisi za Serikali za Mitaa
|
Malengo ya Makusanyo ya Mapato 2013/2014
|
Fedha Zilizokusanywa hadi Machi 2014
|
Asilimia ya Fedha Zilizopatikana hadi Machi 2014
|
Makadirio ya Makusanyo Mwaka 2014/2015
|
1
|
Baraza
la Manispaa
|
2,743,140,580
|
1,317,063,132
|
48
|
2,555,324,500
|
2
|
Baraza
la Mji Mkoani
|
40,000,000
|
52,965,700
|
132
|
70,000,000
|
3
|
Baraza
la Mji Chake Chake
|
100,000,000
|
107,391,300
|
107.3
|
150,000,000
|
4
|
Baraza
la Mji Wete
|
65,000,000
|
40,229,282
|
61.89
|
110,000,000
|
5
|
Halmashauri ya Wilaya
ya Magharibi
|
800,000,000
|
540,146,634
|
67.51
|
950,000,000
|
6
|
Halmashauri ya Wilaya
ya Kati
|
200,000,000
|
137,871,502
|
68.95
|
204,100,000
|
7
|
Halmashauri ya Wilaya
ya Kusini
|
129,900,000
|
93,280,750
|
71.81
|
131,296,000
|
8
|
Halmashauri ya Wilaya
ya Kaskazini "A"
|
177,500,000
|
139,045,124
|
78.3
|
295,125,000
|
9
|
Halmashauri ya Wilaya
ya Kaskazini "B"
|
281,000,000
|
220,766,000
|
78.56
|
309,700,000
|
10
|
Halmashauri ya Wilaya
ya Mkoani
|
51,265,000
|
74,869,822
|
146
|
85,000,000
|
11
|
Halmashauri ya Wilaya
ya Chake Chake
|
48,728,000
|
47,711,510
|
98
|
82,306,000
|
12
|
Halmashauri ya Wilaya
ya Wete
|
66,424,000
|
67,419,600
|
101.4
|
100,000,000
|
13
|
Halmashauri ya Wilaya
ya Micheweni
|
80,400,000
|
99,236,650
|
123
|
120,000,000
|
JUMLA
|
4,783,343,580
|
2,934,237,898
|
61
|
5,162,581,500
|
2. BARAZA
LA MANISPAA
Jadweli Namba 1: Utekelezaji
wa Baraza la Manispaa kwa Mwaka 2013/2014.
Malengo
ya Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1. Kuimarisha na
kusimamia ukusanyaji wa Mapato ya TZS 2,743,140,580 na matumizi bora ya Baraza.
|
1.Kukusanya mapato ya TZS 2,743,140,580 kupitia vianzio
vyake vya ndani vya mapato (maegesho , matangazo, leseni za biashara na ada
za usafi)
|
Jumla ya Tshs 1,317,063,132. sawa na asilimia 48% ya lengo zimekusanywa
kupitia vianzio vya ndani vya Baraza la Manispaa. Changamoto kubwa iliyojitokeza
ni baadhi ya wafanyabiashara kukataa kubadilishiwa ada za leseni lakini
watendaji waliwaelimisha na kuwanasihi na hatimae kukubali.
|
2. Uchapishaji wa Stakabadhi
mbalimbali za ukusanyaji wa Mapato
|
Stakabadhi za ukusanyaji wa mapato
zinachapishwa na kutumika katika shughuli mbali mbali za utoaji wa huduma za
Baraza la Manispaa.
|
|
3. Kuimarisha takwimu za vianzio
vyote vya Mapato ya Baraza la Manispaa kwa kuvishirikisha vikundi vya Polisi
jamii
|
Takwimu za vianzio vya mapato
zimekusanywa na uchambuzi wake umeanza. Shughuli hii inaendelea kutekelezwa
kupitia Mradi wa ZUSP.
|
|
4.Kuendelea na utaratibu wa kupunguza madeni pamoja na
kuwapatia Waheshimiwa Madiwani fedha za “ Political vote”
|
Madeni ya jumla ya TZS 50,877,575 yamelipwa, Madeni hayo
yaliyolipwa ni malipo ya stakabadhi, vipuri vya magari na ada za uanachama
(TACINE, AMICAAL na World Haritage) na TZS 29,000,000 (political vote)
wamelipwa Waheshimiwa Madiwani,
|
|
2. Kutoa huduma endelevu za
usafishaji wa mji kwa kushirikisha jamii na wakaazi wote wa Manispaa ya
|
1. Kuelimisha jamii juu ya masuala ya
afya na usafi wa mazingira kwa kutumia vyombo vya habari, mikutano na Siku ya
Manispaa
|
Vipindi vya redio na TV
vilitayarishwa kupitia ZBC, Coconut FM na Zenji FM na kurushwa hewani. Mikutano mitano ya wazi na mikutano baina
ya waandishi wa habari kwa lengo la kuhamasisha jamii ilifanyika
|
2.Kuboresha huduma za ukusanyaji na
uondoaji wa taka kwa maeneo yote ya Manispaa ya
|
Baraza limebinafsisha huduma ya
usafishaji wa barabara kuu kwa kuingia mikataba na vikundi vya kijamii na
Jumla ya tani 72,000 za taka zimeondolewa katika vizimba vilivyopo katika
maeneo mbali mbali ya Manispaa.
|
|
3. Kusimamia na kuendeleza maeneo ya wazi na bustani za
mji ziwe na hadhi na haiba ya kupendeza kwa jamii, wageni na wapita njia.
|
Kazi za ufyekaji wa bustani katika maeneo ya
njia kuu ya Michenzani, bustani ya
Donge na barabara ya Kariakoo, ukataji wa matawi ya miti na ukataji wa miti
mibovu katika maeneo ya Mwanakwerekwe, Malindi, Darajani na Ng'ambu
zimefanyika
|
|
3.Kuimarisha ufanisi wa utendaji kazi
|
1. Kulinda afya za wafanyakazi kwa kuwapima na kuwapatia
madawa pamoja na kufanya ufukizaji katika majaa na masoko.
|
Jumla
ya wafanya kazi 100 wa kuzoa taka
ngumu, kusafisha makaro na michirizi ya maji machafu na ya maji ya mvua
wameshapimwa afya zao Hospital ya Mnazi Mmoja. Baraza linasubiri
ripoti kamili ya vipimo hivyo kutoka wizara husika.
|
1. Kuwajengea
uwezo wafanyakazi kwa kuwapatia mafunzo ya muda mfupi na mrefu katika
utunzaji ghala, takwimu, sheria na afya ya mazingira pamoja na inhouse
training.
|
Jumla
ya wafanyakazi 2 wamesaidiwa gharama za masomo
|
|
3. Kuweka mazingira mazuri ya kazi kwa kununua vitendea
kazi ili kutoa huduma bora na kwa ufanisi.
|
Nyenzo
na vitendea kazi kwa wafanyakazi vimenunuliwa. Vifaa vilivyo nunuliwa ni glavu,,viatu,
'over roll', makoti ya mvua, bero, magamba ya leseni, pauro, mabwela, pamoja na suti kwa waheshimiwa madiwani
|
|
4. Kufanya mapitio na marekebisho ya sheria pamoja na
kuandaa sheria ndogo ndogo.
|
Kanuni za udhibiti wa
wanyama, ukodishwaji wa mabango na maegesho zimeweza kufanyiwa mapitio na
marekebisho kwa kushirikiana na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja
na kutayarisha kanuni mpya ya matangazo
|
|
5.Kuwapatia wafanyakazi sare maalum
za utambulisho katika maeneo ya kazi.
|
Wafanya
kazi wa kuzoa taka ngumu, kusafisha michirizi, mafundi gereji, askari wa
Baraza la Manispaa na baadhi ya madereva wamepatiwa sare.
|
|
4. Kuimarisha ufanisi wa baraza kwa kuendesha
vikao vya kamati, baraza la madiwani na ziara za kimafunzo kwa kila kamati
|
1. Kuendesha vikao vya kamati vya kila mwezi na vile vya
Baraza la Madiwani kila baada ya miezi mitatu.
|
Kamati
tano za kudumu zimefanya vikao vyake kwa wakati. Mikutano mitatu ya Baraza la Madiwani imefanyika. Vikao vilipokea na
kujadili taarifa za utekelezaji wa Baraza.
|
2. Kudumisha na kuendeleza urafiki na kushiriki
mikutano, semina na shughuli za ufuatiliaji kazi ndani na nje ya
|
Watendaji
wa Baraza wameshiriki mikutano na semina za ndani ( mikutano ya TACINE, UDCA)
na kushiriki mikutano na ziara za nje ya nchi (
|
|
5. Kuimarisha na kuifanyia ukarabati michirizi ya maji machafu
na ya mvua pamoja na kuimarisha huduma za vyoo vya umma ndani ya maeneo ya
Manispaa ya
|
1. Kuisafisha na kuifanyia matengenezo madogo madogo
michirizi ya maji machafu na ya mvua ndani ya Manispaa ya mji wa
|
Kazi
za uzibuaji wa makaro na usafishaji
katika maeneo ya Mji Mkongwe,
Ziwani, Jitini, U.U.B, Makadara, Jang'ombe Kwachimbeni, Kiswandui,
Kariakoo na Migombani zimefanyika pamoja na kufanyiwa ukarabati mdogo
|
6.
Kutengeneza na kuendeleza njia za wapitao kwa miguu, maeneo ya maegesho
pamoja na kutunza na kuyafanyia
ukarabati wa majengo ya ofisi na masoko ndani ya Manispaa ya
|
1. Kutengeneza na kuendeleza ukarabati wa njia za
wapitao kwa miguu na maeneo ya maegesho na ukarabati wa majengo ya ofisi na masoko ndani
ya Manispaa ya
|
Jumla
urefu wa mita 489 zenye upana wa mita 1.5 za njia ya wapitao kwa miguu katika
maeneo ya Michenzani Jumba namba 8 zimekamilika.
|
1. Kuimarisha
ukusanyaji wa mapato, usimamizi bora wa fedha na Manunuzi na kuzifanyia mapitio
na kuunda sheria ndogo ndogo mpya za Baraza la Manispaa.
2. Kutoa
huduma endelevu za usafishaji wa mji kwa ufanisi kwa kushirikiana na vikundi
vya kijamii katika usafishaji na usafirishaji taka.
3. Kusimamia
na kuendeleza maeneo ya wazi, bustani na njia za wapitao kwa miguu.
4. Kuweka
mazingira bora ya kazi kwa kulipa stahiki za wafanyakazi, upatikanaji wa nyenzo
na kugharamia shughuli za uendeshaji.
5. Kuwajengea
uwezo wafanyakazi kwa kuwapatia mafunzo ya muda mrefu na mfupi, semina na
kushiriki mikutano ya mashirikiano.
6. Kuimarisha ufanisi wa Baraza kwa kuendesha
vikao vya kamati, Baraza la Madiwani na ziara za kimafunzo kwa kila kamati na
kuchangia miradi ya maendeleo.
7. Kuimarisha na kuendeleza ukarabati wa maeneo
ya maegesho, michirizi na kuyafanyia ukarabati majengo ya ofisi na masoko ndani
ya Mji wa Zanzibar.
Malengo ya Mwaka 2013/2014
|
Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji Halisi
|
1. Kuuimarisha uwezo wa Baraza la Manispaa katika kubuni
na kusimamia utekelezaji wa ukarabati , ujenzi wa miundo mbinu ya huduma za
miji kwa ajili ya kutoa huduma
endelevu Mjini.
|
1. Kutafuta Mshauri Elekezi katika kuimarisha uwezo wa
utekelezaji wa Manispaa kwa miaka mitatu
|
Mshauri
elekezi wa kukuza uwezo wa kiutendaji wa Baraza la Manispaa ameanza kazi
|
2. Kufanya ukarabati
wa Afisi kuu Darajani na Karakana ya Saateni
Manispaa
|
Ukarabati wa Afisi Kuu Darajani umeanza kwa kuezeka paa, kutia plasta
kurekebisha kuta, ujenzi
wa mitaro, na ujenzi wa jengo dogo sambamba namatengenezo ya Karakana ya Manispaa Saateni.
|
|
3. Kutafuta Mshauri Elekezi kwa kusimamia kazi za ukarabati na
ujenzi wa mitaro ya maji ya mvua na uwekaji wa taa za barabarani.
|
Utekelezaji wa shughuli ya umeanza baada ya Kampuni ya Techniplan
kutoka Israel kufunga Mkataba. Ukarabati na Ujenzi wa mitaro ya maji ya mvua
unatarajiwa kuanza Mwezi wa Julai, 2014. Maeneo yatakayonufaika na mradi huu ni Ziwa la Sebleni, Ziwa la kwa Binti Amrani - Mpendae,
Kwamtipura, Kilima hewa, Karakana, Sogea, Mpendae, Jang’ombe (Botanical
garden), Uwanja wa Demokrasia na Shauri moyo.
|
|
Uwekaji wa taa barabarani mjini tunatarajia kuanza Mwezi wa Julai 2014.
Maeneo yatakayo kunufaika na ujenzi huo ni
baadhi ya maeneo ya Mji Mkongwe
kama Shangani, Mkunazini na Kiponda na maeneo ya Ng’ambo ni barabara za Amani
hadi kwa Biziredi, Amani
hadi Mzunguko wa Mwanakwerekwe, Mzunguko wa Mwanakwerekwe hadi Magomeni na Vuga hadi Baraza
la Wawakilishi la zamani.
|
||
4. Kujenga vizimba 80 vya kuhifadhia taka.
|
Jumla ya vizimba 50 vimejengwa katika maeneo ya Halmashauri ya
Wilaya ya Magharibi chini ya Usimamizi
wa wataalamu wa Manispaa
|
|
5. Kununuzi wa vifaa vya Ofisi
|
Kompyuta 14, laptop 8, printa 5, Projekta 2 na Scanner 2 kwa
ajili ya matumizi ya shughuli mbali mbali za
Manispaa zimenunuliwa.
|
|
6. Kununua gari la kunyonya uchafu wa vyoo na makaro
|
Gari moja imenunuliwa.
|
|
7. Ununuzi
wa gari la kusafishia mchanga
|
Taratibu za
ununuzi zimekamilika, gari bado haijawasili.
|
|
8. Ununuzi wa
gari moja ya kutengenezea taa za barabarani
|
Gari imenunuliwa
na tayari imeshafika Zanzibar.
|
|
9. Ununuzi wa
gari tano za Wakuu wa Idara tano za Manispaa
|
Gari zimenunuliwa
|
|
10. Ununuzi wa
Vespa kumi za kufuatilia kazi za
Manispaa
|
Vespa
zimenunuliwa
|
|
11. Ununuzi wa
vifaa vya kazi na thamani kwa ajili ya Idara ya Mipango Miji.
|
Vifaa vimenunuliwa
|
|
12. Ununuzi wa
gari moja ya Idara ya Mipango Miji.
|
Gari imenunuliwa
|
|
13. Ununuzi wa mikokoteni ya taka na vikapu vya taka 193
|
Mikokoteni imeshanunuliliwa
|
|
14. Kusambaza Mapipa ya kuhifadhia taka
|
Mapipa yamesambazwa katika maeneo ya Mji Mkongwe
|
|
15.Ununuzi wa Magari ya taka ya vikapu
|
Gari zimenunuliwa na zinatarajiwa kuwasili mwishoni mwa mwezi wa
Julai.
|
|
16. Kununua magari mawili ya tipa
|
Magari yamenunuliwa na tayari yameshafika Zanzibar.
|
1.
Kuimarishaji uwezo wa Baraza la Manispaa katika kukuza
mapato, utumishi bora na kuhamasisha
ushirikishwaji wa jamiii katika kuchangia
utekelezaji wa huduma endelevu
Mjini.
2. Kuimarisha
huduma za usafi wa mji kwa kujenga
misingi ya maji ya mvua ,
3. Kuimarisha
mandhari bora ya mji wa Zanzibar kwa kuweka taa za Barabarani
4. Kuinua uwezo
wa ufanisi kwa watendaji wa Manispaa kwa
kufanya kazi katika mazingira mazuri kwa kujenga afisi bora
5. Kukarabati
Karakana ya Manispaa iliopo Saateni
Jadweli
Namba 2:
Utekelezaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Magharibi kwa Mwaka 2013/2014
Malengo ya
Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1. Kuimarisha ukusanyaji wa mapato wa
Halmashauri kwa asilimia17 kutoka 681 milioni
mwaka 2012/2013 mpaka 800 milioni mwaka 2013/2014
|
1.Kufuatilia
ukusanyaji wa mapato ya TZS 800
milioni.
|
Ufuatiliaji
umefanyika kwa njia ya ukaguzi wa leseni, michirizi ya maji machaf, (kutoza faini),
mabango ya matangazo, majenzi na matumizi ya rasilimali za misitu na
kufanikiwa kukusanya jumla ya TZS.
537.4 milioni sawa na asilimia 67.2
|
2. kuendeleza mfumo wa takwimu za wafanya biashara
|
2.
Ofisi imekamilisha hatua ya uchukuwaji wa taarifa za wafanya biashara katika
Wilaya ya Magharibi na kuanza kuziingiza katika Mfumo wa Takwimu "Data
Base” ya Halmashauri.
|
|
3. Kutayarisha Mpango Mkakati wa
Halmashauri.
|
Rasimu
ya awali ya Mpango Mkakati wa Halmashauri imeshatayarishwa na iko tayari kwa
kuwasilishwa kwa wadau ili waweze kutoa maoni yao kwa kuiboresha.
|
|
4.
Kuendesha vikao vya Baraza la Madiwani.
|
Vikao
vitatu vya Baraza la Madiwani
vimefanyika na kujadili utekelezaji wa shughuli za Halmashauri pamoja na
kupokea mapendekezo ya Bajeti ya mwaka
2014/2015
|
|
2.Kutunga/ kufanya mapitio ya Sheria ndogo ndogo
katika kuendeleza shughuli za Halmashauri.
|
1.
Kutoa elimu juu ya Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
|
Semina moja juu ya kujenga uelewa wa sheria ndogo ndogo za
Halmashauri imefanyika kwa Madiwani na watendaji
|
2. Kuendesha vikao vya Kamati ya Sheria na
maendeleo ya wafanyakazi.
|
Vikao vitatu vimefanyika na kujadili
Usimamizi wa Sheria katika utekelezaji wa shughuli za Halmashauri pamoja na
Maendeleo ya wafanyakazi kwa kuzingatia upatikanaji wa stahiki zao na
mikataba.
|
|
3.
Kutekeleza miradi mbalimbali kwa lengo la kukuza ustawi
|
1.
Kuendeleza ujenzi wa Ofisi ghorofa ya pili.
|
Ujenzi wa ghorofa ya pili ya Ofisi
umekamilika.
|
2. Kujenga maegesho ya magri mbele ya soko
la Mwanakwerekwe
|
Ujenzi wa maegesho umefanyika na wastani wa gari 36 zinaweza
kuegesha kwa wakati mmoja.
|
|
3. Kusaidia miradi ya Wanachi katika Wadi
tano.
|
Halmashauri imesaidia usamabazaji wa
umeme katika kijiji cha Bumbwisudi, kuchimba visima viwili katika Wadi ya
Mwanyanya na Bububu, kuezeka Madrasa katika Wadi ya Magogoni, ujenzi wa Skuli
ya Chekechea Nyamanzi, ujenzi wa Ofisi ya SACCOS Mwera pamoja na kusaidia
vifaa vya Ujenzi wa Skuli ya Kihinani
|
|
4. Kuendesha vikao vya Kamati ya Fedha na
Mipango Miji.
|
Vikao
tisa vilivyojadili mapato na matumizi ya kila mwezi, utekelezaji wa bajeti ya
mwaka 2014-2015 na kutayarisha rasimu ya bajeti 2014-2015 vimefanyika.
|
|
4. Kujenga uwezo kwa Waheshimiwa Madiwani na
Watendaji wa Halmashauri
|
1. Kufanya safari za kikazi ndani na nje ya
nchi.
|
Safari
mbili za kikazi zimefanyika Dar es salaam na Pemba kwa lengo la ufuatiliaji
wa mapato na shughuli nyengine za kikazi.
Katika ziara hizo Halmashauri imefanikiwa kulipwa deni la siku nyingi
kutoka kwa Kampuni ya TIGO.
|
2. Kutoa mafunzo ya muda mrefu na mfupi kwa
wafanyakazi.
|
Jumla
ya wafanyakazi wanne, ambapo wawili wanawake wamepata mafunzo ya muda mrefu
katika ngazi za Stashahada ya utunzaji
wa kumbukumbu na rasilimali watu na wafanyakazi wawili wanaume wamepatiwa
mafunzo ya muda mfupi katika fani ya udereva.
|
|
3.Kufanya semina za kuongeza uelewa na uwezo
wa Waheshimiwa Madiwani
|
Semina
zilizohusu (i) Mwelekeo wa Sera ya Serikali za Mitaa (ii) Mpango wa Matumizi
ya ardhi (iii) Uwekezaji katika Maeneo Huru, (iv) Mfumo mpya wa Bajeti za Serikali
na (v) Uratibu wa Mipango ya Serikali zimefanyika
|
|
5. Kuongeza ufanisi kazini na kuwapatia wanyakazi stahili zao
|
1. Kulipa posho na mishahara kwa wafanyakazi
wa muda pamoja na stahiki zao
|
Wafanyakazi
wote 38 wamelipwa mishahara yao ya kila mwezi na stahiki zao zote
|
2. Kulipa posho la kila mwezi kwa
Waheshimiwa Madiwani pamoja na stahiki zao
|
Jumla ya Madiwani 20 wamelipwa posho la kila
mwezi pamoja na stahiki zao.
|
|
3. Kuimarisha shughuli za uendeshaji wa kazi
za ofisi
|
Malipo
yote ya mafuta, matengenezo ya magari, ulinzi, vifaa vya kuandikia, umeme na
kodi ya jengo la kitengo cha usafi wa mazingira yamefanyika
|
|
4. Kushiriki katika sherehe za maadhimisho
ya sherehe za kitaifa.
|
Maandalizi ya ufunguzi wa jengo la Ofisi pamoja na
kufanya operesheni maalumu za usafi
katika kuelekea sherehe za miaka 50 ya
Mapinduzi ya Zanzibar
|
|
5. Kutoa misaada kwa wafanyakazi wanaopatwa
na matatizo kazini.
|
Misaada
imetolewa kwa wafanyakazi waliopatwa na matatizo mbalimbali pamoja na ubani
wa ufiwa na wafanyakazi 30 wamepimwa
afya zao
|
Malengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Magharibi
kwa Mwaka 2014/2015
·
Kukusanya mapato kwa ongezeko la asilimia 18.kutoka 800 milioni mwaka
2013/2014 mpaka 950 milioni mwaka 2014/2015.
·
Kuimarisha huduma za usafi wa mazingira katika maeneo ya Halmashauri.
·
Kukuza ustawi wa Jamii na kupunguza umasikini kwa kutekeleza Miradi ya
Maendeleo.
·
Kuimarisha mazingira ya utendaji na maslahi ya watendaji.
Jadweli Namba 3: Utekelezaji
wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini "A" kwa Mwaka 2013/2014
Malengo
ya Mwaka 2013/14
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1. Kukusanya mapato ya jumla ya TZS. 177.5 milioni
kutokana na vyanzo vyake mbali mbali vya mapato;
|
1. Kukusanya mapato kutoka vianzio vya Halmashauri
|
Mapato
yamekusanya kutokana na ada za leseni, mabango ya matangazo, majenzi na matumizi
ya rasilimali za misitu na kufanikiwa kukusanya jumla ya TZS 139,045,144/= sawa na asilimia
78
|
2. Kuwashajihisha na kuelimisha
wafanyabiashara 30 juu ya umuhimu wa kulipa kodi kwa hiari na
kuendesha mafunzo kwa watendaji 20 juu ya kumjali mteja
|
Wafanyabiashara 30 na watendaji 20
wameelimishwa juu ya umuhimu wa kulipa
kodi kwa hiari na kumjali mteja.
|
|
3. Kuendeleza na kusimamia mpango wa takwimu ( Database) za Halmashauri
|
Mpango wa takwimu (Database) za Halmashauri hasa vyanzo vya mapato
umeendelezwa kwa kuandaa ''template'' za kuingizia taarifa za
wafanyabiashara.
|
|
2. Ukarabati wa Ofisi ya Halmashauri
Mkokotoni;
|
1.
Kufanya ukarabati kwa kujenga ukumbi wa, kupiga plasta, kujenga sakafu
na kuezeka.
2.
Kukamilisha ukumbi kwa kutia feni, viyoyozi na samani za ofisi.
|
Shughuli zote zimefanyika
|
3.
Ujenzi wa Ofisi ndogo na nyumba ya Halmashauri,
maduka ya Halmashauri Pwani Mchangani, soko la Mkwajuni, kiwanda cha kukoboa
na kusaga nafaka na maegosho ya gari;
|
1.
Ujenzi wa Ofisi ndogo na nyumba ya
Halmashauri.
2.
Ujenzi wa maduka ya Halmashauri Pwani
Mchangani na Kiwanda cha kusaga nafaka.
3.
Soko la Mkwajuni na
maegosho ya
gari
|
Fedha za shughuli hizi zimehaulisha na
kuingizwa kwenye mradi wa ujenzi wa ukumbi kupitia kikao cha Baraza la
Madiwani.
Ukarabati wa Soko la Mkwajuni na maegesho ya
gari yamefanyika.
|
4.
Ukarabati wa njia ndogo za Tumbatu na Shindoni/Chutama;
|
1.
Kufanya ukarabati wa njia ndogo za Tumbatu
2.
Kufanya ukarabati njia ndogo
Shindoni/Chutama;
|
Ukarabati wa njia ndogo za Tumbatu na
Shindoni/Chutama umefanyika na kukamilika
|
5.
Kununua pikipiki/vespa mbili, samani na
mashine za Ofisi
|
1.
Ununuzi vespa mbili.
2.
Ununuzi samani na mashine za Ofisi
|
Vespa moja pamoja na mashine za Ofisi
zikiwemo mashine ya fotokopi 1, komputa 1 na printa mbili zimenunuwa
|
6.
Kuendesha mafunzo ya muda mrefu na mfupi kwa
watumishi wa Halmashauri, kufanya ziara za kimasomo kwa Madiwani na kuendesha
programu maalum ya usafi.
|
1.
Kuendesha mafunzo ya muda mrefu na mfupi kwa
watumishi na madiwani wa Halmashauri
2.
Kufanya ziara za kimasomo kwa Madiwani na
kuendesha programu maalum ya usafi.
|
Mafunzo ya muda mrefu na mfupi kwa watumishi
wawili (Katibu muhtasi na usimamizi wa fedha) wa Halmashauri na programu
maalum ya usafi zimefanyika
|
Malengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini "A"kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015
1.
Kuimarisha ukusanyaji
wa mapato kutoka TZS.177,500,000/= kwa mwaka 2013/2014 hadi kufikia
TZS.295,125,000/= kwa mwaka 2014/2015
2.
Kuimarisha vyanzo vya
mapato katika mamlaka ya Hamashauri
3.
Kuimarisha usafi wa mazingira katika
mamlaka ya Halmashauri
4.
Kusaidia miradi ya
maendeleo na ya wananchi katika kujiletea maendeleo
5.
Kuwajengea uwezo
watendaji na madiwani katika mamlaka ya Halmashauri
6.
Kuimarisha uendeshaji
wa shughuli za Ofisi
Jadweli Namba 4: Utekelezaji
wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini "B"kwa Mwaka 2013/2014
Malengo
ya Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1.Kuimarisha ukusanyaji
wa mapato yanayotokana na vianzio vya Halmashauri
|
1. Kukusanya mapato ya TZS 281 milioni kutoka katika vianzio vya
Halmashauri
|
Mapato ya TZS 220,766,000/= yamekusanywa sawa na asilimia 79 hadi
kufikia Machi 2014. Mapato hayo yametokana na ada za leseni, mabango ya
matangazo, majenzi na utumizi wa rasilimali za mchanga, mawe na kifusi.
|
2. Kushajihisha na kuelimisha jamii na wafanya biashara juu ya
umuhimu wa kulipa kodi na kufuata taratibu za Halmashauri katika uendeshaji
wa biashara
|
Jumla ya mikutano 8 imefanywa
kwa wanajamii na wafanyabiashara iliyolenga kuongeza uelewa na kuwahamasisha
kulipia ada mbali mbali za biashara zinazokusanywa na Halmashuri.
|
|
3. Kutoa mafunzo kwa Makarani na watendaji wa Halmashauri
wanaohusika na ukusanyaji wa kodi na ada za Halmashauri.
|
Jumla ya watendaji 34 wamepatiwa mafunzo juu
ya ukusanyaji wa Kodi na ada kwa Halmashauri kwa lengo la kuongeza ufanisi
|
|
4.
Kutengeneza Mpango wa Takwimu (Data base) ya vianzio vya mapato.
|
Takwimu
za wafanya biashara zenye uchambuzi wa wamiliki wa biashara na aina za
biashara katika kila Shehia zimekusanywa na zitasaidia katika uwekaji wa
makisio ya makusanyo na kurahisisha ufuatiliaji. Takwimu zinaonesha
Halmashauri ina maduka 560 na Hoteli
11.
|
|
2. Kuimarisha vyanzo vya
mapato katika Mamlaka ya Halmashauri
|
1. Kufanya uendelezaji wa ujenzi wa
masoko 3 (Bumbwini Mtendeni, Mahonda na Muwanda).
|
Ununuzi
wa vifaa vya ujenzi wa masoko mawili
(Mtendeni na Muwanda) umefanyika
|
3. Kufanya mapitio na kuimarisha
uelewa wa Sheria za Uendeshaji wa Halmashauri.
|
1. Kuelimisha jamii juu ya Sheria
ndogo ndogo za Halmashauri, mazingira na usafi.
|
Vikao
vya kutoa elimu juu ya sheria ndogo ndogo za Halmashauri, usafi wa mazingira
na usafi wa wafanyabiashara vimefanyika katika Wadi zote kumi za Wilaya ya Kaskazini B
|
3.
Kuendesha vikao vya Baraza na Kamati za kudumu za Halmashauri (Sheria
na ustawi wa wafanyakazi , kamati ya mazingira na Kamati ya Fedha na Mipango
Miji).
|
Vikao
vimefanyika na kujadili masuala mbali mbali ya uendeshaji wa Halmashauri
na utekelezaji wa miradi ya wananchi
|
|
4. Kutekeleza miradi mbali mbali ya jamii na
kusaidia vikundi katika kupunguza umaskini.
|
1. Kuweka kifusi njia 2 za ndani.
|
Njia mbili za ndani zimewekewa kifusi (Skuli ya Kinduni na Donge
Njia Mtoni) ili ziweze kupitika na kuwaondolea wananchi usumbufu hasa katika
kipindi cha mvua.
|
2. Kuweka miundo mbinu ya maji katika vijiji 9 vya Halmashauri ya
Wilaya ya Kaskazini “B”.
|
Miundombinu ya maji imewekwa katika Vijiji vyote tisa (9) vya Njia ya Mtoni, Mto Mchanga, Mswalani,
Kipandoni, Mahonda Ushehani, Mahonda kwa Omar Panya, Omar Mawenge Mahonda,
Mkataleni, Mbaleni na Makoba na tayari wananchi wanapata huduma ya Maji safi na salama. Miundombinu ya umeme imewekwa katika Shehia ya Mgambo kwa kununua nguzo
na waya
|
|
3. Kuvisaidia vikundi 7 pembejeo na vifaa vya kilimo.
|
Vikundi saba (7) vya
kilimo vimepatiwa pembejeo na vifaa vya kilimo ili kuongeza nguvu ya
uzalishaji na ubora wa mazao. Vikundi vilivyopatiwa pembejeo ni Yakwao Donge,
Mwerevu Hatufai, Subira Huvuta Kheri, Tusikosane, Mwenda pole, Kwa chao na
Jumusama
|
|
4. Kuendeleza ujenzi wa madarasa ya skuli 3 za msingi na
matengenezo ya nyumba moja ya walimu.
|
Vifaa vya ujenzi vimenunuliwa na ujenzi
katika Skuli 3 za msingi, Donge Mtambile, Mwanda na Donge Kipange umefanyika
|
|
5. Kufanya ujenzi wa kituo 1 na kufanya ukarabati wa kituo
kimoja cha afya.
|
Ujenzi wa kituo cha Afya Bumbwini
Kiongwe umekamilika na ukarabati wa kituo cha Afya Fujoni unaendelea kufanywa
|
|
5.Kuimarisha
uendeshaji wa shughuli za ofisi
|
1. Kuendeleza ujenzi wa jengo jipya la Ofisi ya Halmashauri ya
Wilaya ya Kaskazini ‘B’ Kinduni.
|
Uendelezaji wa ujenzi wa
jengo jipya la Ofisi ya Halmashauri Kinduni umefanyika kwa kufanya fiting ya
umeme na upigaji wa plasta.
|
2. Kuwalipa watendaji stahiki zao
|
Watendaji wamelipwa
stahiki zao za mishahara, muda wa ziada wa saa za kazi, likizo, mchango na posho la waheshimiwa madiwani kwa kila
mwezi zimelipwa
|
|
3. Mafunzo nchini
|
Watendaji saba (Utawala wa Rasilimali watu - Shahada ya pili 1),
(Uchumi Shahada ya kwanza 1 na Utawala
wa Umma 1), ( Uhazili, Utawala wa Umma na Usimamizi wa Biashara- Stashahada 3
na cheti 1), wamesaidiwa sehemu ya
gharama ya mafunzo
|
|
4. Misaada ya mazishi na maafa.
|
Halmashauri imesaidia gharama za
mazishi (watu 5) na kutoa msaada wa maafa kwa mfanyakazi mmoja aliyeunguliwa
moto nyumba yake.
|
Malengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini "B" kwa Mwaka wa Fedha wa 2014/2015
1.
Kuimarisha ukusanyaji wa mapato yanayotokana
na vianzio vya Halmashauri yatakayofikia TZS 309.7 kwa mwaka 2014/2015;
2.
Kuimarisha vyanzo vya mapato katika Mamlaka ya
Halmashauri;
3.
Kufanya mapitio na kuimarisha uelewa wa Sheria
za Uendeshaji wa Halmashauri;
4.
Kutekeleza miradi mbali mbali ya jamii na
kusaidia vikundi katika kupunguza umaskini;
5.
Kuimarisha uendeshaji wa shughuli za Ofisi; na
6.
Kuimarisha huduma za usafi na utunzaji wa
mazingira
Jadweli Namba 5: Utekelezaji
wa Halmashauri ya Wilaya ya Kusini kwa Mwaka 2013/2014
Malengo ya Mwaka 2013/2014
|
Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji halisi
|
1. Kukusanya mapato yatakayofikia jumla ya
TZS 129,886,000
|
1. Kukusanya mapato kupitia vyanzo
mbalimbali vya Halmashauri.
|
Jumla ya TZS. 91,278,000/= sawa na asilimia 70
zimekusanywa.
|
2. Kutoa elimu juu ya umuhimu wa ulipaji ada za
Halmashauri kwa wananchi na wafanya biashara
|
Elimu imetolewa juu ya umuhimu wa ulipaji ada za
Halmashauri kwa wananchi na wafanya biashara.
|
|
3(a) Kufanya
ufuatiliaji wa ukataji wa leseni za biashara na ada ya vibali vya ujenzi.
|
Jumla ya lita 2,683
za mafuta ya diseli zimenunuliwa
|
|
3(b) kufanya
ununuzi wa stakabadhi na ununuzi wa vitabu vya leseni.
|
Jumla ya vitabu 40 vya mazao, vitabu 10 vya stakbadhi na
vitabu 3 vya leseni vimenunuliwa.
|
|
2. Kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo vijijini
na Halmashauri
|
1. Uendelezaji
wa jengo la ghorofa la Ofisi ya Halmashauri.
|
Ujenzi wa ghorofa ya kwanza unaendelea kwa kazi ya
uwekaji wa fremu za milango, kobra
na uwekaji wa ‘tiles’ vyooni umefanyika
|
2. Kusambaza maji safi Kizimkazi Mkunguni na kusaidia
vifaa vya ujenzi kwa Skuli ya Jambiani
|
Vifaa vya kusambazia maji safi Kizimkazi Mkunguni
vimenunuliwa na mabati 84 (Danida) kwa Skuli ya Jambiani yamenunuliwa
|
|
3.Uimarishaji wa kazi za kiofisi
|
1. Kuimarisha
ufanisi wa utendaji kazi kwa kununua vifaa vya kuandikia na vifaa vya
matengenezo ya magari
|
Vifaa vya kuandikia ikiwemo karatasi, kalamu, bahasha,
stepla, sola tepu na wino wa printa vimenunuliwa.
Vipuri vimenunuliwa na matengenezo ya gari na vespa
yamefanyika.
|
2. Kufanya vikao vya Baraza na Kamati za Kudumu.
|
Jumla ya
vikao kumi na mbili vimefanyika, vikao 3 vya Baraza la Madiwa na vikao 9 vya
Kamati zote za kudumu.
|
|
3.
Kuwapatia Waheshimiwa Madiwani na wafanyakazi stahiki zao.
|
Waheshimiwa Madiwani
na wafanyakazi saba wa mkataba wa muda wamepatiwa stahiki zao.
|
|
4. Kuwajengea uwezo watendaji
|
1. Kuwapatia mafunzo ya muda mfupi na muda mrefu watendaji
wawili wa Halmashauri
|
Wafanyakazi wawili wamelipiwa gharama za masomo katika
fani ya utunzaji wa kumbukumbu na Huduma za Jamii
|
Malengo
ya Halmashauri ya Wilaya ya Kusini kwa Mwaka wa Fedha wa 2014/2015
1.
Kukusanya Mapato yatakayofikia TZS..
Milioni 131.
2.
Uimarishaji wa kazi za kiofisi.
3.
Kuwajengea uwezo watendaji pamoja na
Madiwani
4.
Kusaidia utekelezaji wa miradi ya
maendeleo ya wananchi vijijini
6. HALMASHAURI
YA WILAYA YA KATI
Jadweli Namba 6: Utekelezaji
wa Halmashauri ya Wilaya ya Kati kwa Mwaka 2013/2014
Malengo ya
Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1. Kufuatilia vyanzo
vya mapato ili kufikia lengo kuu la kukusanya TZS.. 200,000,000/= kwa mwaka
wa fedha 2013/14.
|
1. Ukusanya Mapato
yatakayofikia Tsh.200,000,000/=
|
Hadi
kufikia Machi 2014 Halmashauri imeweza kukusanya TZS. 137,871,502 sawa na
asilimia 68 ya lengo la mwaka
|
2. Kusimamia na kutekeleza miradi minane ya wananchi katika wadi
tofauti.
|
1. Kusaidia utiaji nguzo za umeme katika
kijiji cha Cheju pamoja na kusaidia Ushirika wa akina mama Cheju.
|
Nguzo 12 za umeme zimelipiwa na generator 1 na
pump 1 imenunuliwa, mpira wa maji roll 1, kanga 110, kwa ajili ya kusaidia ushiririka wa akina mama
Cheju,
|
2. Kusaidia vikundi vya maendeleo vya akina
mama kupiia viti maalum
|
Viti vitatu na meza 1, mabati 32, ‘hardboard’ 5,
mifuko 32 ya saruji, shehena 1 ya mawe
imenunuliwa kwa ajili ya kusaidiwa vikundi vya maendeleo vya akina mama.
|
|
3.
Kusaidia kutia umeme katika skuli ya maandalizi ya Unguja Ukuu Kae bona
|
Halmashauri imenunua vifaa vya umeme (Wire
2.5 roll 5,wa 1.5 roll 5, switch 10 pcs plug 10, main switch 1 pcs wire earth
15 pcs,earth rod 1pc socket breaker 1, cement pkt 1 nakionjut pipe) kwa
kusaidia kutia umeme katika Skuli ya Maandalizi ya Unguja Ukuu
Kaebona.
|
|
4. Kusaidia ujenzi wa vyoo katika skuli ya
Michamvi na Ukongoroni pamoja na kituo cha afya Michamvi.
|
Matofali
150, saruji mifuko 50, mchanga shehena 4, mawe shehena 4, mbao 60 vidirisha
24, mabati 24, nondo 20, kokoto shehena 2 na milango 10.
|
|
5.
Usambazaji maji Bambi.
|
Halmashauri imesaidia vifaa vya usambazaji maji,
saruji mifuko 50, nondo 4, mipira ya maji roll 6 kwa kusaidia
ujenzi wa nyumba ya walimu ya Bambi.
|
|
6.
Utiaji kifusi njia za ndani katika shehia ya Bungi na Kikungwi
|
Dizel lita 1500 na oil zimenunuliwa pamoja na
malipo ya mafundi kwa utiaji kifusi njia za ndani katika Shehia ya Bungi na Kikungwi.
|
|
3. Kusimamia na kutekeleza miradi endelevu ya
kuongeza pato la Halmashauri
|
1. Kuanzisha kilimo cha mbogamboga (Green House)
|
Halmashauri imefanya semina moja, iliyowajumuisha
watendaji na madiwani iliyoendeshwa na mtaalamu wa kilimo cha mbogamboga
|
4. Kufanikisha utekelezaji wa shughuli za kiofisi
|
1. Kuwapatia stahiki zao wafanyakazi 12 wa
mikataba ya muda
|
Wafanyakazi 12 wamelipwa
stahiki zao
|
2. Kugharimia safari za kikazi, gharama za petrol
na matengenezo ya gari
|
Safari 6 za
kikazi zimefanyika, lita 900 za petrol na lita 2700 za diesel zimenunuliwa
kwa ufuatiliaji wa shughuli za Ofisi, pamoja na matengenezo ya gari.
|
|
3. Kugharimia matumizi ya ofisi na kuendesha
kazi, malipo baada ya saa za kazi, mawasiliano, umeme, vifaa vya kuandikia,
matengenezo ya zana na ujira wa benki
|
Posho la madiwani kwa kila mwezi limelipwa, ununuzi wa vitabu vya
stakbadhi, vifaa vya kuandikia, malipo ya matumizi ya kuendesha kazi na
matumizi ya ofisi yamefanyika
|
|
4. Kuendesha vikao vya Baraza la Madiwani na
Kamati zake
|
Vikao 7 vya Kamati na vikao 5
vya Baraza vimefanyika.
|
|
5. Kutoa Misaada kwa wananchi na kugharimia
shughuli za sherehe na mapambo
|
Wananchi 11 wamesaid wa kwa matatizo mbali mbali
yakiwemo kuunguliwa nyumba na kusafirisha mgonjwa.
|
|
5. Kuongeza taaluma kwa wafanyakazi na kuongeza vitendea kazi.
|
1. kununua vespa 1 kwa ajili ya kuongeza ufanisi
wa kazi za ofisi
|
Vespa 1 imenunuliwa.
|
2. Ununuzi wa photocopy machine 1, laptop 1,
printa 1, Scaner 1 na mabao mawili ya taarifa.
|
Fotokopi 1 na printa 1 zimenunuliwa
|
1.
Kukusanya Mapato yatakayofikia jumla ya
TZS.. Milioni 204.
2.
Ufanikishaji wa kazi za kiofisi.
3.
Kuongeza taaluma kwa wafanyakazi,
kuwajengea uwezo Madiwani na kuongeza vitendea kazi
4.
Kusaidia utekelezaji wa miradi ya
maendeleo ya wananchi katika wadi tofauti
BARAZA LA MJI MKOANI
Jadweli Namba 7: Utekelezaji
wa Baraza la Mji Mkoani kwa Mwaka 2013/2014
Malengo ya
Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1.Kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato kutoka TZS,35,000,000/=
hadi kufikia TZS 40,000,000/= kutokana na vyanzo mbali mbali vya mapato.
|
1. Kuandaa ziara ya ufuatiliaji wa
ukusanyaji wa mapato hadi kufikia TZS 40,000,000
|
Jumla ya TZS 52,965,700/= sawa na asilimia
132 zimekusanywa.
|
2.
Kuendesha mikutano miwili ya mikakati
kwa wakusanyaji mapato.
|
Mikutano imefanyika.
|
|
3.
Kuandaa vipeperushi vinavyohimiza umuhimu wa kulipa kodi.
|
Vipeperushi vimetayarishwa na kusambazwa kwa
jamii.
|
|
2. Uendelezaji wa ukarabati wa soko la
samaki na matunda la Mbuyuni
|
1.Kufanya ukarabati wa sehemu ya ndani ya
soko la samaki na matunda Mbuyuni
|
Ukarabati umefanyika katika hatua za awali.
|
3. Kuimarisha vyanzo vya mapato vya baraza
kwa kujenga milango minne yakufanyia biashara katika eneo la Jamhuri Garden.
|
Kujenga milango minne ya biashara katika
eneo la Ng’ombeni.
|
Milango mitatu imejengwa na kufikia hatua ya
uwezekaji.
|
4. Kuimarisha usafi wa mazingira katika eneo
la Baraza la Mji kwa kujenga silabi mbili za kutunza taka katika eneo la
Mbuguani.
|
1. Kufanya mikutano 5 ya Baraza la Madiwani
na vikao 20 vya Kamati
|
Vikao vine vya Baraza na 16 vya kamati
vimefanyika.
|
1.Kuipatia Ofisi vifaa vya kufanyia usafi wa
mazingira katika eneo la Baraza
|
Vifaa vya usafi vimenunuliwa na kazi
imefanyika kwa ufanisi
|
|
2. Kujenga silabi mbili katika eneo la
Mbuguani.
|
Ujenzi wa silabi mbili umefanyika na jamii
imeweza kuzitumia sehemu hizo kwa kuhifadhia taka.
|
|
5. Kusaidia miradi ya jamii katika wadi
mbili za Uweleni na Mbuyuni.
|
1. Kusaidia ujenzi wa vidaraja eneo la
Mbuyuni na kufanya ununuzi wa vifaa vya ujenzi wa Skuli ya Uweleni.
|
Ujenzi wa vidaraja eneo la Mbuyuni na
ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa Skuli ya Uweleni umefanyika.
|
Malengo ya Baraza la Mji Mkoani kwa Mwaka wa Fedha
wa 2014/2015
(i) Kuongeza kiwango cha ukusanyaji
wa mapato kutoka TZS. 40 milioni hadi kufikia TZS. 70 milioni kutokana na vyanzo vyake mbali mbali vya mapato;
(ii) Kuendelea kulifanyia ukarabati soko la samaki na matunda
la Mbuyuni;
(iii) Kuimarisha vyanzo vya mapato vya Baraza.
(iv) Kuimarisha usafi wa mazingira katika eneo la Baraza
la Mji pamoja na kuwajengea uwezo wafanyakazi..
7. BARAZA
LA MJI CHAKE CHAKE
Jadweli Namba 8: Utekelezaji
wa Baraza la Mji Chake Chake kwa Mwaka 2013/2014
Malengo ya
Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1. Kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato
kutoka TZS 83,000,000 mpaka TZS 100,000,000
|
1. Kukusanya mapato ya TZS 100,000,000
|
Jumla ya TZS 107,931,300/= sawa na asilimia
107 zimekusanywa.
|
2. Kufanya vikao 4 vya Baraza na 16 vya
kamati pamoja na vikao vya watendaji
|
Vikao 4 vya Baraza vilifanyika na 19 vya
kamati kujadili mambo tofauti ya Baraza
|
|
3. Kufanya ziara kwa Madiwani ndani ya
Kisiwa cha Unguja na Pemba.
|
Ziara mbili za Madiwani zilifanyika ndani ya
Kisiwa cha Unguja na Pemba kujadili maslahi ya Madiwani na kazi za Baraza.
|
|
4. Malipo baada ya saa za kazi kwa
wafanyakazi wa Baraza la Mji
|
Malipo baada ya saa za kazi yalilipwa kwa
watumishi waliofanya kazi katika muda wa ziada
|
|
5. Kufanya vikao na jamii hasa wafanyabiashara
|
Vikao vya wafanyabiashara wenye maduka,
biashara ndogo ndogo na wachuuzi
vilifanyika
|
|
6. Kutoa mafunzo kwa wafanyakazi wa Baraza
juu ya kutoa huduma bora za kuwajali wateja.
|
Wafanyakazi wa Baraza walipewa mafunzo ndani
ya eneo la kazi ili kuweza kuwahudumia wateja
|
|
2. Kuimarisha miundo mbinu ndani ya eneo la
Baraza la Mji Chake chake
|
1. Kutengeneza njia ya Msingini ili iweze
kupitika
|
Kazi ya utengenezaji misingi imemalizika kwa
kiwango cha zege
|
2.Utiaji wa kifusi njia ya Machomanne,
Michakaeni na Katar
|
Ununuzi wa kifusi na utengenezaji wa njia
umefanyika
|
|
3. Ujenzi wa vituo viwili vya kusubiria gari
|
Vibanda viwili vilijengwa vya kusubiria gari
eneo la Madungu na Machomanne
|
|
4. Kuweka alama za Barabarani ndani ya eneo
la Mji wa Chake Chake
|
Alama zimetengenezwa na kuwekwa mnamo husika
|
|
5. Kusaidia miradi ya maendeleo
iliyoanzishwa na wananchi
|
Misaada tofauti ya kijamii ilitolewa kama
vile kujenga daraja, kutoa mabati, matofali na fedha taslim
|
|
6. Kuhifadhi maporomoko ya ardhi katika eneo
la Katar
|
Kazi ya kufukia na kuchawanya dongo
imefanyika
|
|
7 Ujenzi wa Msingi wa Kichungwani
|
Msingi wenye urefu wa mita 150 ulijengwa na kukamilika kwa hatua ya awali.
|
|
8.Ujenzi wa choo cha soko la samaki
Machomanne
|
Choo kimekamilika
|
|
9. Ujenzi wa msingi wa Mkungu malofa
|
Msingi umeendelezwa kwa hatua ya kuwekwa
mawe na saruji
|
|
10.Kufanya matengenezo ya jengo la machinjio
lililoko eneo la Tinga tinga
|
Kazi ya kujenga kuta, kutia milango,kutia
zege katika uwanja wa machinjio ulifanyika
|
|
11.Malipo ya uchoraji wa ramani na utafiti
wa mapendekezo ya ufukiaji wa sehemu ya jangwa
|
Kazi ya utafiti na mapendekezo ya utumiaji
wa eneo la jangwa ulifanyika
|
|
12.Uwekaji wa taa za barabarani
|
Vifaa vya taa za barabarani vimenunuliwa na
kazi kufanyika katika kiwango cha kuridhisha
|
|
13.Malipo ya upimaji wa maeneo ya Baraza la
Mji ili kupata hati miliki
|
Baadhi ya meneo yaliyopimwa na hati miliki
ya eneo moja (Katar) imepatikana
|
|
3.
Kuendelea kuimarisha huduma za usafi katika eneo la Baraza la Mji kwa
kuongeza vibarua na wafanyakazi
|
1. Ukaguzi wa masoko 4 ya Baraza la Mji
|
Masoko yalikaguliwa na kufanyiwa marekebisho
kwa kila penye hitilafu
|
2.Ukaguzi wa mahoteli na nyumba za kulala
wageni
|
Hoteli 5 na nyumba 6 za kulala wageni
zimekaguliwa
|
|
3. Uzoaji wa taka na usafishaji wa maeneo
tofauti ya Mji
|
Jumla ya tani 3,980 zilizotolewa na
kupelekwa jaa kuu la Vitongoji
|
Malengo ya Baraza la Mji Chake Chake kwa Mwaka
wa Fedha wa 2014/2015
(i)
Kuongeza kiwango cha
ukusanyaji wa mapato kutoka TZS. 100
milioni na kufikia TZS. 150 milioni kutokana na vyanzo
vyake mbali mbali vya mapato;
(ii)
Kuweka mazingira mazuri
ya kazi na kujenga uwezo wa wafanyakazi
(iii) Kuendelea kuimarisha
huduma za usafi katika eneo la Baraza la Mji kwa kuongeza vibarua na vitendea
kazi; na
(iv) Kuimarisha miundombinu ya
njia za ndani za Baraza la Mji zikiwemo njia za Msingini na Mkungu Malofa.
8. HALMASHAURI
YA WILAYA YA CHAKE
CHAKE
Jadweli Namba 9: Utekelezaji
wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkoani kwa Mwaka 2013/2014
Malengo ya
Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1.Kuongeza ukusanyaji wa mapato kutoka TZS
36 milioni hadi kufikia TZS
48,728,000/=.
|
1. Kufanya tathmini ya biashara zilziomo
ndani ya Hlamashauri pamoja na ufuatiliaji wa mapato kwa ujumla ili kukusanya
TZS 48,728,000/=.
|
Tathmini ya biashara na ufuatiliaji wa
mapato katika vianzio vya mapato imefanyika ambapo jumla ya TZS 47,711,510
/= sawa na asilimia 98 zimekusanywa.
|
2. Kuimarisha mazingira bora ya kufanyia
kazi kwa kununua vitendea kazi
|
1.Kufanya matengenezo madogo madogo ya ofisi
|
Matengenezo madogo madogo ya ofisi
yamefanyika.
|
2.Kufanya malipo ya mishahara kwa waajiri 2
wa muda
|
Malipo yamefanyika
|
|
3. Kufanya malipo ya posho la safari kwa
watendaji walioshiriki kwenye vikao vya Wizara.
|
Malipo ya safari yamefanyika
|
|
4.Kufanya vikao 13 vya kamati na 4 vya Baraza
la Madiwani
|
Jumla ya mikutano 13 ya Kamati na 3 ya
Baraza la Madiwani wa Halmashauri imefanyika
|
|
3. Kuendelea kusaidia utekelezaji wa miradi
ya wananchi katika Halmashauri.
|
1. Kuimarisha ujenzi wa soko la mnada la
Kichuwani
|
Ujenzi umefanyika na umefikia hatua ya
linta.
|
2. Kulipa gharama za kituo cha kufanyia
mtihani Skuli ya Ndagoni Chake Chake.
|
Malipo ya kituo yamefanyika na wanafunzi
wameendelea kufanya mtihani.
|
|
3.Uwekaji wa kifusi katika njia ya Gombani Kati
|
Kazi ya kutia kifusi imekamilika.
|
|
4.
Kumpatia mafunzo ya muda mrefu mfanyakazi mmoja katika fani ya utawala ngazi
ya shahada ya uzamili.
|
1. Kumpatia mafunzo ya muda mrefu mfanyakazi
mmoja wa Halmashauri..
|
Mfanyakazi mmoja amelipiwa ada na anaendelea
na masomo.
|
(i) Kuongeza ukusanyaji mapato kutoka TZS. 48,728,000/= hadi
kufikia 82,036,000/= kutokana na vyanzo vyake mbali mbali vya mapato;
(ii) Kuimarisha mazingira bora ya wafanyakazi,
vitendea kazi na kuimarisha ofisi;
(iii) Kuendelea kusaidia utekelezaji wa miradi ya wananchi
katika Halmashauri;
9.
HALMASHAURI YA
WILAYA YA MKOANI
Jadweli Namba 10: Utekelezaji
wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkoani kwa
Mwaka 2012/2013
Malengo ya
Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1. Kukusanya mapato TZS 51,265,000/=
|
1. Kukusanya mapato TZS 51,265,000/=
|
Jumla ya TZS 74,869,822/= sawa na asilimia
146 zimekusanywa.
|
2. Kufanya ziara mbali mbali kwa ajili ya
kuboresha vyanzo vya mapato
|
Ziara zimefanyika katika maeneo ya Shehia za
Mwambe, Mizingani, Chambani na Kiwani
|
|
2. Kuendeleza ujenzi wa soko na kuongeza
sehemu za maduka katika soko la Mkanyageni.
|
1. Kujenga milango na kutia plasta,
kutengeneza vibaraza vya kuuzia matunda na samaki.
|
Ujenzi wa milango, kutia plasta na vibaraza
vya kuuzia matunda umefanyika.
|
3 Kusaidia miradi ya maendeleo ilioanzishwa
na wananchi.
|
1. kusaidia vifaa vya ujenzi kwa wadi 5 za
Mizingani, Kengeja, Wambaa, Mwambe na Chambani
|
Ununuzi wa vifaa umefanyika kwa wadi 5 za
Halmashauri.
|
4 Kuimarisha ufanisi kazini na kuipatia
Ofisi vitendea kazi vya kisasa.
|
1. Kuwapatia wafanyakazi mafunzo ya muda
mrefu na mfupi kulingana na kada zao na misaada kwa ujumla
|
Mfanyakazi mmoja amesomeshwa mafunzo ya Diploma katika fani ya uchapaji .
|
2. Kufanikisha usimamizi na kufuatilia
shughuli za Halmashauri
|
Ufuatiliaji wa ukusanyaji wa mapato shughuli
za kazi Wizarani na safari za ufuatiliaji zimefanyika.
|
|
3. Kufanya vikao 4 vya Baraza na 10 vya
kamati
|
Vikao vimefanyika
|
|
4. Kuendeleza ujenzi wa jengo la Halmashauri
|
Ujenzi wa ukanda na ukuta wa jengo la
Halmashauri umefanyika.
|
Malengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Mkoani kwa
Mwaka wa Fedha wa 2014/2015
(i) Kukusanya
jumla ya TZS. 85 milioni kutokana na vyanzo vyake mbali mbali vya mapato;
(ii)
Kuendelea na ujenzi wa soko la samaki la Kangani na kujenga mabanda matatu ya
madiko ya kudumu ndani ya Halmashauri;
(iii)
Kusaidia miradi ya maendeleo ilioanzishwa na wananchi katika Wadi zote kumi na
moja za Halmashauri.
(iv)
Kuimarisha ufanisi kazini kwa kuipatia Ofisi vitendea kazi vya kisasa.
10.
BARAZA LA MJI WETE
Jadweli Namba 11: Utekelezaji
wa Baraza la Mji Wete kwa Mwaka 2013/2014
Malengo ya
Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1.
Kuimarisha ukusanyaji wa mapato yatakayofikia TZS. 65,000,000
|
1. Kukusanya mapato ya TZS. 65,000,000/=
kupitia vyanzo mbalimbali ndani ya Mamlaka ya Baraza la Mji la Wete
|
Jumla
ya TZS. 42,467,890/= sawa na asilimia 65 zimekusanywa
|
2. Kuendesha mkutano minne kwa wakusanyaji
wa mapato ili kufanya tathmini na kuibua vyanzo vipya vya mapato
|
Mikutano 3 imefanyika.
|
|
3. Kufanya vikao 4 vyenye lengo la
kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kulipa ada za usafi.
|
Vikao 3 vya taaluma juu ya kulipa ada vimefanyika na jamii imeshajihika katika
kulipa ada hizo.
|
|
4. Kuandaa vipeperushi 200 vinavyohimiza
umuhimu wa kulipa ada na kuvisambaza katika maeneo yote ya Baraza la Mji Wete
|
Vipeperushi 200 vyenye ujumbe wa kuwahimiza wafanyabiashara juu ya umuhimu
ulipaji ada vimeandaliwa na kusambazwa katika maeneo tofauti ya Mji wa Wete.
|
|
5. Kufanya ziara 6 katika vyanzo vya mapato
vya Baraza la Mji Wete kwa lengo la kutathmini na kufuatilia mwenendo mzima
wa ukusanyaji wa mapato.
|
Ziara 6 zimefanyika.
|
|
2. Kuimarisha usafi wa Baraza la Mji
|
1. Kufanya ukaguzi wa Hoteli 3, nyumba 2 za
kulala wageni na mikahawa 10
|
Hoteli 3, nyumba 2 za kulaza wageni na mikahawa 10 imekaguliwa.
|
3. Kukarabati jengo lililokuwa likitumika
kama Soko la samaki la Kitutia (Selemu) na kulifanya kuwa ni kwa matumizi ya
biashara kwa kujenga milango ya maduka 15
|
1. Kuandaa mchoro wa soko
|
Mchoro wa soko la Kitutia (Selem)
umeandaliwa
|
4.
Kuimarisha mazingira bora ya kafanyia kazi na maslahi ya wafanyakazi
|
1. Kufanya vikao 3 vya Baraza pamoja na kamati zake.
|
Vikao vitatu vya Baraza vimefanyika pamoja
na kamati zake.
|
2. Kuwapatia wafanyakazi stahiki zao
|
Wafanyakazi 94 wa kudumu na 7 wa mkataba wa
muda wamepatiwa stahiki zao
|
|
5.Kuendesha
shughuli za kawaida za Ofisi
|
1.Kugharamia safari za kikazi Unguja na
Tanzania Bara kwa Waheshimiwa Madiwani na maafisa wengine wa Baraza
|
Malipo ya safari za Unguja na Tanzania Bara
yamefanyika.
|
6.
Kusaidia miradi ya jamii katika eneo la Baraza la Mji Wete na kuweka kifusi
kituo cha magari Wete
|
1. Kusaidia miradi ya maendeleo katika eneo
la Baraza la ji Wete
|
Vifaa vya ujenzi na vifaa vya kusambazia
maji vimetolewa katika wadi 7 za Baraza la Mji Wete.
|
2. Uwekaji wa kifusi kituo cha magari Wete
Mjini Shehena
|
Uwekaji wa kifusi kituo cha magari Wete
umefanyika.
|
1. Kuimarisha ukusanya mapato yatakayofikia 110 Milioni
2. Kuimarisha usafi katika eneo la Baraza la Mji Wete.
3. Kuendelea na ukarabati wa jengo lililokua likitumika kama
Soko la samaki la Kitutia na kulifanya kuwa ni kwa matumizi ya biashara kwa
kujenga milango 15 ya maduka.
4. Kuimarisha mazingira bora ya kufanyia kazi na maslahi ya
wafanyakazi
5. Kuendesha shughuli za kawaida za Ofisi.
6. Kusaidia miradi 7 ya jamii katika eneo la Baraza la Mji
wa Wete na kuweka kifusi kituo cha magari Wete
12.
HALMASHAURI YA WILAYA YA WETE
Jadweli Namba 12: Utekelezaji
wa Halmashauri ya Wilaya ya Wete kwa Mwaka 2013/2014
Malengo ya
Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1. Kukusanya jumla ya TZS.. 66,424,000/= kutokana na vyanzo
mbali mbali vya mapato.
|
1. Kukusanya mapato TZS 66,424,000/=
|
Jumla ya TZS 67,419,000/=
sawa na asilimia 101 zimekusanywa
|
2. Kufanya mikutano 9 ya wafanyakazi
juu ya umuhimu wa udhibiti wa fedha.
|
Mikutano imefanyika.
|
|
2.
Kuimarisha usafi wa mazingira katika eneo la Halmashauri.
|
1.Kununua vifaa vya kufanyia usafi wa
mazingira.
|
Vifaa vya usafi wa Mazingira
vimenunuliwa
|
3. Kufanya usafi wa mazingira maeneo ya Ole
na Madenjani
|
Usafi katika maeneo ya Madenjani na Ole umefanyika.
|
|
3.
Kuanzisha ujenzi wa soko la Gando kwa hatua ya msingi.
|
Kujenga soko
katika hatua ya msingi.
|
Ujenzi
umekamilika.
|
4.Kuimarisha
mazingira bora ya kufanyia kazi pamoja
na kuipatia ofisi vitendea kazi.
|
1.Kuwaendeleza wafanyakazi ngazi ya Diploma.
|
Wafanyakazi wawili wamepatiwa mafunzo
ya uhasibu ngazi ya Diploma
|
2. Kuandaa mikutano 4 ya Baraza na mikutano
20 ya Kamati za Kudumu.
|
Mikutano 12 ya Kamati na mikutano 3 ya Baraza imefanyika.
|
|
3. Ununuzi wa mafuta na vilainishi
|
Ununuzi wa mafuta na vilainishi vimenunuliwa
kwa ajili ya ufuatiliaji wa kazi za Halmashauri.
|
|
4. Kufuatilia vikao na shughuli nyengine za
Halmashauri.
|
Madiwani na maofisa mbali mbali wameshiriki vikao
na kufuatilia kazi mbalimbali za Halmashauri pia baadhi ya madeni ya safari
yamelipwa
|
|
5. Ununuzi wa vifaa vya kufanyia kazi.
|
Risiti mbali mbali zimenunuliwa pamoja na
mabuku ya vyeti vya mazao na vitabu vya leseni za biashara
|
|
7. Kugharamia uendeshaji wa Ofisi ikiwemo
gharama za simu, umeme, matengenezo ya magari, viburudishaji wa Benki, msaada
wa mazishi, sherehe na mapambo na matengenezo ya Kompyuta.
|
Shughuli mbali mbali za za kuendesha Ofisi
zimetekelezwa.
|
|
5.Kuendeleza
ujenzi wa ofisi ya Halmashauri kwa hatua za uwezekaji.
|
1.Kumalizia ujenzi wa ofisi.
|
Ujenzi umefikia hatua ya kuezeka.
|
Malengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Wete kwa Mwaka wa Fedha wa 2014/2015
2.
Kusaidia huduma za jamii na usafi wa mazingira.
3.
Kuweka mazingira mazuri ya ofisi na kuwaendeleza wafanyakazi.
HALMASHAURI YA WILAYA YA MICHEWENI
Jadweli Namba 13: Utekelezaji
wa Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni kwa Mwaka 2013/2014
Malengo ya
Mwaka 2013/2014
|
Shughuli
Zilizopangwa Kutekelezwa
|
Utekelezaji
Halisi
|
1.Kuongeza
kiwango cha ukusanyaji wa mapato kutoka 77 milioni hadi 80.4 milioni kutokana
na vianzio vyake vya mapato
|
1. Kukusanya
TZS 80.4 milioni kutoka vyanzo mbalimbali vya Halmashauri.
|
Jumla
ya TZS. 99,236,650/= sawa na asilimia 123 zimekusanywa
|
2. Kufanya
semina ya siku 2 kwa madiwani na watendaji, juu ya umuhimu wa kuelewa
majukumu yao ikiwemo kuwahamasisha wananchi kulipa kodi za Halmashauri kwa
hiari
|
Semina ya siku mbili kuhamasisha wadau
umuhimu wa kulipa kodi kwa hiari imefanyika.
|
|
2.
Kufanya mikutano na wadau mbali mbali wakiwemo wafanyabiashara wenye mahoteli,
wachuuzi na madalali
|
Mikutano
5 ya wadau mbali imefanyika ambapo
wafanyabiashara wameweza kulipa
ada
|
|
3. Kuendeleza mfumo wa uwekaji wa taarifa (
Data base) za vianzio vya mapato ya Halmashauri
|
Mfumo wa uwekaji wa taarifa za vianzio vya
mapato umeendelezwa kwenye wadi zote za Wilaya ya Micheweni.
|
|
4.Kufanya ufuatiliaji na tathmini juu ya
ukusanyaji wa mapato
|
Ufuatiliaji na tathmini umefanyika ambapo
kiwango cha ukusanyaji wa mapato kimeongezeka
|
|
2. Kuendelea
na hatua ya pili ya ujenzi wa ukumbi wa mikutano
|
1.
Kuendeleza ujenzi wa ukumbi wa mikutano Micheweni
|
Ujenzi
unaendelea na umefikia hatua ya
linta.
|
3. Kuimarisha
mazingira bora ya kufanyia kazi pamoja na kuipatia ofisi vitendea kazi.
|
1. Kuweka mabango kwenye mipaka ya Wilaya ya
Micheweni pamoja na kufanyia matengenezo bango la Ofisi na jiwe la msingi la
Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya.
|
Mabango 2 ya
mipakani yamewekwa pamoja na kuyafanyia matengenezo bango na Jiwe la msingi
la Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni.
|
2. Kuipatia Ofisi kompyuta moja aina ya
laptop
|
Kompyuta moja aina ya laptop imenunuliwa
|
|
3. Kuweka samani za ofisi
|
Meza
tatu za ofisi zimenunuliwa.
|
|
4. Kuipatia ofisi huduma za uendeshaji
|
Vifaa
vya kuandikia vimenunuliwa pamoja na kulipia gharama za umeme, maji na mawasiliano
|
|
5. Kuvifanyia matengenezo vipando vya ofisi
|
Vespa
mbili za Ofisi zimefanyiwa matengenezo.
|
|
6. Kuwapatia maslahi Waheshimiwa Madiwani na
wafanyakazi wa muda
|
Madiwani
13 na wafanyakazi 8 wa muda wamepatiwa maslahi yao.
|
|
7. Kufanya vikao 15 vya Kamati za Kudumu na
mikutano mitatu ya Baraza
|
Vikao
18 vya Kamati na mikutano 5 ya Baraza imefanyika
|
|
8. Kuwapatia mafunzo ya muda mrefu na mfupi,
wafanyakazi 3, ngazi ya shahada ya pili 1, stashahada 1 na mfanyakazi 1
mafunzo ya muda mfupi.
|
Wafanyakazi
2 wamelipiwa ada za masomo mmoja ngazi ya shahada ya pili ya uchumi na
stashahada ya Uhasibu.
|
|
3. Kukamilisha
ujenzi wa Chinjio la Mziwanda
|
1. Kutia, madirisha, milango na sakafu
pamoja na kuchimba karo
|
Ujenzi
umekamilika
|
5.
Kusaidia juhudi za wananchi katika kuimarisha huduma za afya,elimu na
barabara.
|
1.
Kusaidia ujenzi wa Skuli ya Makangale
|
Msaada
wa vifaa ikiwemo bati, ndono na saruji vimetolewa.
|
2. Kusaidia ujenzi wa skuli ya Msuka
|
Vifaa vya ujenzi ikiwemo mabati, nondo n
saruji vimetolewa
|
|
3. Kusaidia ujenzi wa choo cha jamii
Micheweni
|
Ujenzi wa choo cha jamii unaendelea.
|
|
4. Kuweka kifusi njia ya Limani Kipange-Konde
|
Kazi ya uwekaji wa kifusi imefanyika.
|
|
5. Kusaidia wananchi walioathirika na
majanga ya moto, Shehia ya Shumba Mjini na Maziwa n’gombe.
|
Jumla ya kaya 53 zilizoathirika na majanga
ya moto zimesaidiwa fedha za kusaidia mahita muhimu.
|
Malengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni
kwa Mwaka wa Fedha wa 2014/2015.
2.
Kuimarisha mazingira bora ya kufanyia kazi.
3.
Kuwajengea uwezo wafanyakazi na madiwani wa Halmashauri.
4.
Kuimarisha miradi ya Maendeleo ya Halmashauri.
5.
Kusaidia juhudi za wananchi katika kuimarisha huduma za jamii na kiuchumi.
No comments:
Post a Comment