MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi msaada wa chakula kwa ajili ya wananchi wa
Kijiji cha Kijambani Jimbo la Matemwe Mkoa wa Kaskazini A Unguja, Sheha wa
Kijini Ndg. Haji Makame, makabidhiano hayo yamefanyika katika kijiji cha Kijambani
MKE
wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein,
akimkabidhi msaada wa mashafu na juzuu za hitma kwa ajili ya matumizi ya msikiti
wa Kijambani Matamwe, anayeshuhudia Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mama Asha Balozi Seif, hafla hiyo imefanyika katika kijiji cha kijambani matemwe unguja.
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi fedha kwa ajili ya malipo ya
mafundi wa ujenzi wa darasa la Wanawake la elimu ya Watu Wazima wa Kijiji cha Kijambani Matemwe, akipokea Bi Asha Faki wakati hafla ya kutembelea kijiji hicho huko Wilaya ya Kaskazini A Unguja.
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi seti ya jezi Nahodha wa timu ya Simba
Mweupe, Mtumwa Khamis, makabidhianohayo yamefanyika katika kijiji cha kijambani
matamwe Wilaya ya Kaskazini A Unguja.
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akiwahutubia wananchi wa kijiji cha
kijambani, akiwa katika ziara yake kutembelea wananchi wa kijiji hicho na
kutowa msaada kwa wananchi hao.akiongozana na Umoja wa Wake wa Wawakilishi na
Wabunge wa CCM Zanzibar
MKE wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mama Asha Balozi Seif, akitowa nasaha zake kwa Wananchi wa Kijiji cha Kijambani Matemwe wakati wa ziara ya Mama Mwanamwema Shein na Ujumbe wake wa Umoja wa
Wake wa Wawakilishi na Wabunge.
WANANCHI wa Kijiji cha Kijini wakimsikiliza Mke
wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein,
wakati akiwahutubia na kutowa nasaha zake kwa Wanakijiji hao wakati wa ziara
yake katika kijiji hicho na kutowa misaada ya Vyakula na vifaa vya ujenzi
MWAKILISHI wa Jimbo la Matemwe Mhe Abdi Mossi
Kombo, akizungumza wakati wa mkutano huo na kuto wa shukrani kwa msaada huo kwa
Wananchi wa Jimbo lake
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Watoto wa kijiji cha
kijambani alipofika katika kijiji hicho kuwatembelea na kutowa misaada ya
vyakula na vifaa vya ujenzi
MKE wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama
Asha Balozi Seif, akitowa nasaha zake kwa Wananchi wa Kijiji cha Kijini Matemwe
wakati wa ziara ya Mama Mwanamwema Shein na Ujumbe wake wa Umoja wa Wake wa
Wawakilishi na Wabunge.
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi juzuu na mashaf kwa ajili ya Madrasatul
Kamaria ya Kijini Matemwe Mkoa wa Kaskazini A Unguja
WANANCHI wa Kijiji cha Kijini wakimsikiliza Mke
wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein,
wakati akiwahutubia na kutowa nasaha zake kwa Wanakijiji hao wakati wa ziara
yake katika kijiji hicho na kutowa misaada ya Vyakula na vifaa vya ujenzi
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi msaada wa Chakula mwakilishi wa Wananchi wa
Kijiji cha Kijini Ndg. Amour Mtumweni, kwa ajili ya matumizi ya wananchi wa
kijiji hicho.
HAHAHAHAHAHA
ReplyDeleteInaonyesha kwamba CCM Kure Visiwani imeanza mtindo wake wa kuwarainisha Watu wa Vijijini iri wawapatie kura zao ifikapo 2015.... Kwanini CCM hawa wawiri tu ndio wanatoa misaada? ivo hii Hela wanaitowa wapi hawa watu jemani aseee..... Wananchi wa vijiji ndio watakao waharibia Wazanzibari na Watanganyika wanaotaka Serikali 3...
Ivo munafahamu kwamba hao wanajaribu kuwaloeka nyinyi ili musije kumshitaki balozi Segfu Ali Iddi..
wanajifanya wanawapenda raia wao kumbe nikujionyesha na kuwakaanga kwa mafuta yao..