Habari za Punde

Balozi Seif Aghairisha Kikao cha Baraza la Wawakilishi hadi October 2014.

Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mh. Pandu Ameir Kificho pamoja na Makatibu wake wakiongozwa na Askari wa Baraza hilo wakiytoa nje ya ukumbi mara baada ya kuahirishwa kwa kikao cha baraza hilo hapo Mbweni nje kidogo yha Mji wa Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiufunga Mkutano wa 16 wa Baraza la Wawakilishi uliokuwa ukifanykja katika majengo ya Baraza hilo yaliopo Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.


Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mh. Pandu Ameir Kificho pamoja na Makatibu wake wakiongozwa na Askari wa Baraza hilo wakitoa nje ya ukumbi mara baada ya kuahirishwa kwa kikao cha baraza hilo hapo Mbweni nje kidogo yha Mji wa Zanzibar.(Picha na Hassan Issa wa –OMPR )

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.