Habari za Punde

Mahafali ya 11 ya Chuo cha Benjamin Mkapa, Mchangamdogo Pemba

 
MWALIMU mkuu wa Chuo cha Uwalimu Benjamini Mkapa, kilichpo Mchangamdogo Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba, Said Mohamed Seif, akisoma risala ya wanachuo katika mahafali ya 11 ya chuo hicho.(Picha na Maryam Salim, PEMBA.)

 
MENEJA wa Benki ya watu wa Zanzibar PBZ Tawi la Pemba, Haji Machano Haji akizungumza na wanafunzi wa chuo cha Uwalimu Benjamini Mkapa, kilichopo Mchanga Mdogo Mkoa wa kaskazini Pemba, wakati wa mahafali ya 11 ya wanafunzi chuoni hapo.(Picha na Maryam Salim, PEMBA.)

 
MENEJA wa Benki ya watu wa Zanzibar PBZ, Tawi la Pemba Haji Machano Haji, akimkabidhi cheti cha uhitimu mwanafunzi Seluwa Omar, aliyehitimu mafunzo ya uwalimu katika Chuo cha Benjamini Mkapa,  kilichpo Mchanga Mdogo mkoa wa kaskazini Pemba. .(Picha na Maryam Salim, PEMBA.)

WANAFUNZI wa chuo Cha Uwalimu Benjamini Mkapa, kilichpo Mchanga Mdogo Wilaya ya Wete Mkoa Wakaskazini Pemba, wakimkabidhi zawadi Mgeri Rasmi katika mahafali ya 11 ya wanachuo hicho, ambaye ni Meneja wa Baenk ya Watu wa Zanzibar PBZ,Tawil la Pemba Haji Machano Haji. .(Picha na Maryam Salim, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.