Wagombea nafasi za kitaifa CUF. Kutoka kulia Mgombea nafasi ya Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad, Mgombea Uenyekiti Prof. Ibrahim Lipumba. Katikati ni mgombea mwengine wa Uenyekiti Chifu Lutalosa Yemba akifuatiwa na mgombea mwengine wa nafasi hiyo M'bezi Adam Bakar. Kushoto ni mgombea Makamu Mwenyekiti Taifa Juma Duni Haji (Picha na Salmin Said, OMKR)
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment