Wagombea nafasi za kitaifa CUF. Kutoka kulia Mgombea nafasi ya Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad, Mgombea Uenyekiti Prof. Ibrahim Lipumba. Katikati ni mgombea mwengine wa Uenyekiti Chifu Lutalosa Yemba akifuatiwa na mgombea mwengine wa nafasi hiyo M'bezi Adam Bakar. Kushoto ni mgombea Makamu Mwenyekiti Taifa Juma Duni Haji (Picha na Salmin Said, OMKR)
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment